<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

<-> HAPPY BIRTHDAY ODM /Asprin<->

Vinywaji vyooote vimeandaliwa hadi mbege ipo.... Yaani vinywaji vilinunuliwa from order....lol.. Wee unatumia kipi, kama hakipo nimpigie akanunue....

mwali unakunywa nini? na mimi nitakunywa hiko hiko
 
Hiki kizunguzungu nashindwa kujua kama ndo nimevimbiwa pilau, nimelewa fanta au ndo marazi yanatafuta njia ya kutokea.

Hebu mjukuu aliyejirani a-come this way niangalie kama ntaweza ku do the needful...

Atakayenionea MwanajamiiOne naomba amwambie kuwa leo nina aleji na madripu.....

Baada ya kusema hayo napenda kuwashukuru kuja katika sherehe hii na kuanzia sasa naanza kupokea zawadi (ambaye hakuja na zawadi anaruhusiwa kutoa pledge)

Nje ya mada: Smile ahsante kwa dhawadi taaaaamu!
 
Hiki kizunguzungu nashindwa kujua kama ndo nimevimbiwa pilau, nimelewa fanta au ndo marazi yanatafuta njia ya kutokea.

Hebu mjukuu aliyejirani a-come this way niangalie kama ntaweza ku do the needful...

Atakayenionea MwanajamiiOne naomba amwambie kuwa leo nina aleji na madripu.....

Baada ya kusema hayo napenda kuwashukuru kuja katika sherehe hii na kuanzia sasa naanza kupokea zawadi (ambaye hakuja na zawadi anaruhusiwa kutoa pledge)

Nje ya mada: Smile ahsante kwa dhawadi taaaaamu!

:A S kiss:...Hiyo ndo zawadi yako...
 
Hiki kizunguzungu nashindwa kujua kama ndo nimevimbiwa pilau, nimelewa fanta au ndo marazi yanatafuta njia ya kutokea.

Hebu mjukuu aliyejirani a-come this way niangalie kama ntaweza ku do the needful...

Atakayenionea MwanajamiiOne naomba amwambie kuwa leo nina aleji na madripu.....

Baada ya kusema hayo napenda kuwashukuru kuja katika sherehe hii na kuanzia sasa naanza kupokea zawadi (ambaye hakuja na zawadi anaruhusiwa kutoa pledge)

Nje ya mada: Smile ahsante kwa dhawadi taaaaamu!
Smile kakupa dhawadi gani? Babu, angalia nisikuaribie siku yako..
 
Hiki kizunguzungu nashindwa kujua kama ndo nimevimbiwa pilau, nimelewa fanta au ndo marazi yanatafuta njia ya kutokea.

Hebu mjukuu aliyejirani a-come this way niangalie kama ntaweza ku do the needful...

Atakayenionea MwanajamiiOne naomba amwambie kuwa leo nina aleji na madripu.....

Baada ya kusema hayo napenda kuwashukuru kuja katika sherehe hii na kuanzia sasa naanza kupokea zawadi (ambaye hakuja na zawadi anaruhusiwa kutoa pledge)

Nje ya mada: Smile ahsante kwa dhawadi taaaaamu!
Niko hapa next to you Babu... unataka nini?
 
Haya basi. Ngoja mimi na wewe tupange hivi: we mbane deskmate asinioni ninacho fanya huku, si unajua atampelekea Uncle Kaizer? lol

Ucjali mie na ww tena!mie nishaona kinachoendelea but ctasema,uwe makin tu!mpe hi saint ivuga!
 
@Asprin😀ah!babu nipo jiran lkn naona mwali kawahi nafac,akimaliza tu itakua zamu yangu!
 
Back
Top Bottom