AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
- Thread starter
- #361
loh huyu ana hata mwenzi jamani just imagine na mahari keshatoa hapa anajikusanya tunaenda shoping ya harusi dubai
mimi mchumba hata mwezi huwezi nikuta nae mbona?
hahahaha..... Rejao habari hizi kapata lakini? maana babu kuna pesa alikula pale you know....