In red 😛oaDah!
Mwali is well protected and enjoying the protection........ haumuoni ameongezeka mashavu?
Yaani shem unaenda kwenye party la fellow tablet na chachacha? Mbu kafkuzwa kazi nini? lolShemeji!? Ni aje? Mbu wangu kaingiaje hapa!? The most darling, MAN in this place? Plz .....leave my HEART alone shem!
Kabla sijaacha ukibaraka wa kukutaftia wateja wa hiyo slowly growing career!
Mwali?!!!Hahahahaha, Aibu ya mbuuuuuu
:A S 114: kweli kabisa Anti mi sijafanya chochote, nimesema tu!Mwali unahakika hujatenda? Umesema tu? lol:shock:
Mi najibu kama Audience tu. lolMwali?!!!
Yaani shem unaenda kwenye party la fellow tablet na chachacha? Mbu kafkuzwa kazi nini? lol
hapo red, nitacheka kidogo kidogo ili kuepusha mzuka wa pumu
Anti naomba mimi na Ivuga twende kununua chumvi... chumvi imeisha humu ndani...:A S embarassed:
Dah!
Nimeajiriwa serikalini, kitambi ni identity...... sasa kaizer kile kifaduro si kilimpunguza uzito?
Mwali is well protected and enjoying the protection........ haumuoni ameongezeka mashavu?
jamani kwaherini namuwai mkurya wangu msiponiona hadi saa ya kupakua chakula mreport police maana hatabiriki huyu yupo na panga full time.mjue mapanga shaaaaaaaaaa yamenikuta
:A S 114: kweli kabisa Anti mi sijafanya chochote, nimesema tu!
Chumvi hamna humu ndani, na mimi nimepewa kazi ya kupika... sasa nifanyeje?
But Uncle hakuwepo! amaingia tu sasa hivi alipokuona.Mwali umeanza lini kwenda dukani na Ivuga? Kloro umemwona?
hehehe iskusumbue iyo, nimemweka sekyuriti tag sehem flani, akihema kwa sauti tu tag linafyetuka linalia kama ambalesi la zimbabwe. Ivuga hatianiSuruali alizokua akivaa kabla ya kuumwa kifaduro bado zipo.....lol....
I can see the high spirit in Mwali.... Nimeuliza sababu alienda kununua chumvi na Ivuga.... Where were you?lol
:A S 114: kweli kabisa Anti mi sijafanya chochote, nimesema tu!
Chumvi hamna humu ndani, na mimi nimepewa kazi ya kupika... sasa nifanyeje?
breaking newsMZAZI kweli una akili kumvalisha mtoto Condom miguuni kama soksi??? sasa haka kamalaila kakimila Miaka 16 kakianza kuwa ka-MALAYA utamfanya nini? nawakati condom ulianza kumvalisha tokea kina 3yrs![]()
Shem wanasayansi wamegundua ma chachacha yanapunguza libido . source: daktari flani kafkuzwa kazi indiaMbu hahusiki katika hili kabisa.
Hahhhh chachacha inarudi kwenye trend shem 2012. So ninakwenda na wakati, au hujaona color blocking hiyo?
jamani kwaherini namuwai mkurya wangu msiponiona hadi saa ya kupakua chakula mreport police maana hatabiriki huyu yupo na panga full time.mjue mapanga shaaaaaaaaaa yamenikuta
I am sorry uncle, usimwambie babu...Kisheria Mwali haruhusiwi kutoka wak Sababu yeyote ile
Sweetie hebu do ze niidful, mwali naona atashika mkongojo wa babu leo....lol