OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,303
- 104,185
Haji aondoke tu maana anaitumia Simba kwenye personal gain zake haswa hayo matangazo ya akina GSM. Yaani mchana msikitini usiku kanisani is it possible?!
siku nilipoona ameandika haya madudu nikajua huyu ni wa kuondosha haraka. Eti Simba & Bugati, huku ni kujiona mko level na Simba. Tatizo wabongo hatuna washauri tuna mashabiki