Atukua na shaka nayo tulikua na penati mbili ambazo zingekua magoli ila refa nae ni mwanadamu alipitiwa.Hata ile mechi ya tar 3, mlikuwa hamna shaka na hiyo match pia
Manara hafai kuwa msemaji wa Simba kwanza hajuwi mpira na hana akili. Yule ilibidi awe mwuimbaji bongo fleva tu au taarab maana hata singeli na muziki wa dansi hauwezi.Leo nimesikia audio ikitembea mitandaoni inayodaiwa kuwa imerekodiwa na Manara akimtuhumu kwa mambo mengi Barbara.Inaonekana hawa watu wana mgogoro wa mda mrefu na hawawezi kufanya kazi tena pamoja.Wewe kama mwanasoka unadhani nini kifanyike?Au ni madhara ya Mo kujimilikisha timu kifamilia?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenye audio hyo Manara kaenda mbali zaidi na kumtishia Barabara sijui Barnaba sorry Barbana,duuh Barbara kwamba ataiacha timu kama alivyoikuta.Sasa hapo sijui nani anaondoka nani anabaki.
Povu ruksa nina nguo chafu hapa.
Najaribu kuapload audio husika hapa inazingua
Manara hawezi kuendana na Simba ya sasa,sijawahi kumkubali ,kwenye uhamasishaji sawa lakini ana uswahili mwingi,Bidada amesimama kama CEO kwenye nafasi yake na kaachiwa asimamie mambo mengi kiasi kwamba hata mambo ya media yachujwe ndo Manara aongee ,Sasa manara hataki hivo anataka kila kitu awe wa kwanza .Una hoja kubwa sana... timu ambazo zinashindana na simba caf hazina nafasi wala roles za watu kama manara katika staffs wao... ukitizama documentary ya enyimba wakati wanabadilika mwaka 2000 walitoa tenda kwa PWC proffessional consultancy firm na hao pwc kuna vyeo vingi sana walivifuta pale enyimba ili timu iwe ya kisasa. Na vikaleta mgogoro kwa wanaotolewa kazini.. ila miaka miwili mbele wakaenda twaa ubingwa wa caf champions league..
Kuna wakati ili usonge mbele unahitaji ubadili viatu vizito na uvae raba ili utembee haraka
Mo mwenyewe kawa mzinguaji tu hapo Simba hawek pesa na Wala haoneshi dalili ya uwekezaji wa dhatiMkuu umeona mbali sana.Ila Manara anasema CEO ndo ataondoka maana atawaambia wana SIMBA kila kitu.
Mo mwenyewe kawa mzinguaji tu hapo Simba hawek pesa na Wala haoneshi dalili ya uwekezaji wa dhati
Hii ni ile wiki iliyosemwa Simba itafanyiwa figisu nyingiNi mpaka tuisikie hiyo audio kwanza.
Wana Simba wamechungulia wakaona tarehe 25 hawatoki, sasa wanatengeneza mlango wa kutokea. Nashukuru chuo cha Sanaa Bagamoyo kina wahitimu wengi.Atukua na shaka nayo tulikua na penati mbili ambazo zingekua magoli ila refa nae ni mwanadamu alipitiwa.
Ila Kigoma kitaeleweka tu mtani mtakaa mtake msitake.