Aisee.
Noo! Hizo ni mind games tuu mkuu hawana tatizo kabisa ngoja game iishe Kama utasikia tena wako in good termsManara ameapa Babra nae ataondoka Simba kwa kumwaga vyote ugali na mboga,ngoja tuone hii darby ya Manara na Pisi kali itakavyoisha.
Sisi tushamaliza kazi, mapema sana na watu wetu, Mind game ya kitoto sana hiyo hasa hasa inadhoofisha mashabiki wa simba katika hili na sio kuwapa morali mashabikiHizo ni mind games kuelekea kigoma lake Tanganyika ili kuwatoa kidogo wakina mzee mpili kwenye reli kamati zimeanza kazi
Manara kapaniki, kajisahau position yake, anadhani yeye ni mkubwa kuliko klabu. Hivi anajisikia anavyomtishia babra kuondoka simba?Mkuu umeona mbali sana.Ila Manara anasema CEO ndo ataondoka maana atawaambia wana SIMBA kila kitu.
Let's wait and see coz kama ni mind game basi ujue inadhoofisha hadi mashabiki wa simba na morali yao inakuwa chini sanaNoo! Hizo ni mind games tuu mkuu hawana tatizo kabisa ngoja game iishe Kama utasikia tena wako in good terms
Hakuna cha mind game, Manara kakosea sana au kapigwa nyuklia na mzee MpiliLet's wait and see coz kama ni mind game basi ujue inadhoofisha hadi mashabiki wa simba na morali yao inakuwa chini sana
Halafu akumbuke soka siku hizi alichezwi mdomoni ila ni uwekezaji wa ndani ya pitch, hizo porojo zake sio muhimu sana hasa ukiangalia katika Club bora barani Afrika kama Al Ahly, Wydad, Je, wana watu kama hao kwenye timu zao, lazima tubadilike katika soka letu. Naungana na Barbra Gonzalez katika hili
Kwani timu inapopoteza haji anamakosa gani kiufupi makosa ni ndani ya uwanja kwahiyo hakuna point ya utofauti hpo hizo nikudiverge matters kwelekea 25 maana Yanga wameijulia hii derby aiseeLet's wait and see coz kama ni mind game basi ujue inadhoofisha hadi mashabiki wa simba na morali yao inakuwa chini sana
Ni ugomvi tena sio ugomvi wa kitoto huo,Babra hamtaki Haji tangia kitambo ila kwa jinsi Haji alivyo na domo na ujuaji mwingi na alivyojibrand kwa mashabiki Babra anatafuta vijisababu vya kumla kichwa bila kuleta athari kwenye timu,lakini kwa Haji mswahili×2 matachimbika,haki ya Mungu nakwambia patachimbika kuna makaburi yatafukuliwa patachafuka vibaya mno.Noo! Hizo ni mind games tuu mkuu hawana tatizo kabisa ngoja game iishe Kama utasikia tena wako in good terms
😂 Mkuu amini maneno yangu alaf caption this 25/7/2021 Simba 3-1 Yanga baada ya hapo hutasikia hiyo ishu tena na manara ataendelea Kama kawaidaNi ugomvi tena sio ugomvi wa kitoto huo,Babra hamtaki Haji tangia kitambo ila kwa jinsi Haji alivyo na domo na ujuaji mwingi na alivyojibrand kwa mashabiki Babra anatafuta vijisababu vya kumla kichwa bila kuleta athari kwenye timu,lakini kwa Haji mswahili×2 matachimbika,haki ya Mungu nakwambia patachimbika kuna makaburi yatafukuliwa patachafuka vibaya mno.
Ok,ngoja tuone ila kuhusu Simba kushinda Kigoma hilo sina shaka nalo.Mkuu amini maneno yangu alaf caption this 25/7/2021 Simba 3-1 Yanga baada ya hapo hutasikia hiyo ishu tena na manara ataendelea Kama kawaida
Hata ile mechi ya tar 3, mlikuwa hamna shaka na hiyo match piaOk,ngoja tuone ila kuhusu Simba kushinda Kigoma hilo sina shaka nalo.
Acha uchawi we mzee mpiliHata ile mechi ya tar 3, mlikuwa hamna shaka na hiyo match pia
Iwe mind game, au isiwe na iwe propaganda au isiwe ila mkumbuke sisi tuna watuAcha uchawi we mzee mpili