Hai: Zaidi ya Wafanyabiashara 36 wathibitisha kuwa na Nyaraka za uhakika kuthibitisha tuhuma za Sabaya. Waomba kukutana na mamlaka inayomchunguza

Bank ya dunia wasingetangaza Tanzania imefika uchumi wa kati tungedanganywa sana na wapuuzi chadema
FB_IMG_1597733863117.jpg
 
Huyu atafungwa miaka mingi sana, kwa TAKUKURU ya CP Hamduni, sina shaka nayo kabisa
 
Habari zinasema Baba yake pia alikuwa akiwapiga Wamasai mpaka haja kubwa inawatoka bila kujijua hawa System imewadekeza

Ukiiacha Nchi ipelekwe ki Intarahamwe basi jua mgogoro wa sisi kwa sisi hauko mbali

Asante Samia umetuepusha na hilo
 
Hii ndio habari mpya inayosambaa Wilayani Hai kwa sasa baada ya Taarifa ya kufutwa kazi kwa aliyekuwa DC wa hapo bwana mdogo bilionea mpya Sabaya (miaka 34) , ambaye anachunguzwa kwa makosa mbali mbali ikiwemo uvamizi , uporaji wa pesa na wizi wa kuaminiwa ikiwa ni pamoja na ulevi wa madaraka , ambao kistaarabu unaitwa kutumia madaraka vibaya.

Kiongozi wa Wafanyabiashara wenye nyaraka za kusaidia uchunguzi wa Tuhuma za Sabaya ni Ndugu Swai ambaye ni Mmiliki wa hotel kadhaa za kitalii kwenye wilaya hiyo .

Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara na wananchi wote wa Hai kwa kujitolea kuanika uchafu wote wa Sabaya bila kulipwa chochote kwa lengo la kusaidia vyombo vya uchunguzi .
Wamefanya vizuri ili ifahamike mbivu na mbichi
 
Back
Top Bottom