Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,070
Huyu jamaa ana dharau sana aisee,yaani hadi kwny msiba wa shujaa yeye analia chozi kwa jicho 1 tu?
Huyu jamaa ana dharau sana aisee,yaani hadi kwny msiba wa shujaa yeye analia chozi kwa jicho 1 tu?
Bank ya dunia wasingetangaza Tanzania imefika uchumi wa kati tungedanganywa sana na wapuuzi chadema
Tutachongewa sanamu tuambiwe tuiabudu.Uporaji Utesaji Uuwaji wenye Baraka za Mwendazake halafu kuna Mazezeta yanashinda kwenye Kaburi na kumuita Shujaa
AtakomaAnakwenda Jela, Good job!!
View attachment 1788840
Wamefanya vizuri ili ifahamike mbivu na mbichiHii ndio habari mpya inayosambaa Wilayani Hai kwa sasa baada ya Taarifa ya kufutwa kazi kwa aliyekuwa DC wa hapo bwana mdogo bilionea mpya Sabaya (miaka 34) , ambaye anachunguzwa kwa makosa mbali mbali ikiwemo uvamizi , uporaji wa pesa na wizi wa kuaminiwa ikiwa ni pamoja na ulevi wa madaraka , ambao kistaarabu unaitwa kutumia madaraka vibaya.
Kiongozi wa Wafanyabiashara wenye nyaraka za kusaidia uchunguzi wa Tuhuma za Sabaya ni Ndugu Swai ambaye ni Mmiliki wa hotel kadhaa za kitalii kwenye wilaya hiyo .
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara na wananchi wote wa Hai kwa kujitolea kuanika uchafu wote wa Sabaya bila kulipwa chochote kwa lengo la kusaidia vyombo vya uchunguzi .
Thubutuu!! tunalitia kiberiti usiku ukiingia tu.Tutachongewa sanamu tuambiwe tuiabudu.
😂😂😂Thubutuu!! tunalitia kiberiti usiku ukiingia tu.
Zamu yao tayari imekaribia kwa wotezamu ya kuishi kama shetani imeanza tayari....