Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Hii ndio habari mpya inayosambaa Wilayani Hai kwa sasa baada ya Taarifa ya kufutwa kazi kwa aliyekuwa DC wa hapo bwana mdogo bilionea mpya Sabaya (miaka 34) , ambaye anachunguzwa kwa makosa mbali mbali ikiwemo uvamizi , uporaji wa pesa na wizi wa kuaminiwa ikiwa ni pamoja na ulevi wa madaraka , ambao kistaarabu unaitwa kutumia madaraka vibaya.
Kiongozi wa Wafanyabiashara wenye nyaraka za kusaidia uchunguzi wa Tuhuma za Sabaya ni Ndugu Swai ambaye ni Mmiliki wa hotel kadhaa za kitalii kwenye wilaya hiyo .
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara na wananchi wote wa Hai kwa kujitolea kuanika uchafu wote wa Sabaya bila kulipwa chochote kwa lengo la kusaidia vyombo vya uchunguzi .
Kiongozi wa Wafanyabiashara wenye nyaraka za kusaidia uchunguzi wa Tuhuma za Sabaya ni Ndugu Swai ambaye ni Mmiliki wa hotel kadhaa za kitalii kwenye wilaya hiyo .
Nachukua nafasi hii kuwapongeza Wafanyabiashara na wananchi wote wa Hai kwa kujitolea kuanika uchafu wote wa Sabaya bila kulipwa chochote kwa lengo la kusaidia vyombo vya uchunguzi .