Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Arusha ni mji umebeba warembo wa kirangi , kinyaturu kinyeramba, ki Iraq, kichaga , kisonjo ,kipare , kimangati , kimeru , ambapo inasemekana ndio makabila yenye wadada warembo pia
Wazuri hao kwasababu sio Mabantu
 
Uhalisia.. Arusha Wanawake wazuri wapo ILA.. sio kama DSM.

DSM kuna Pisi kali aisee..

Mie nipo Arusha kikazi huu mwaka wa 3 sasa.. ila kila nikirudi DSM kusalimia Familia aisee huwa nababaika sana.

Hata Mavazi.. DSM wanajua kupiga pamba..

Mji ni mdogo huu (Arusha Mjini ni kama Wilaya ya Temeke tu).

DSM nenda MWENGE nenda KIGAMBONI ferry pale... sehemu mbili tu hizo..
Hao wa Dar wengi asili yao ni Arusha, Kilimanjaro na Manyara
 
IMG-20240219-WA0003~2.jpg

Nimeingia salon moja hapa inaitwa sky ipo hapa tigoshop kimahama nikakutana na hii chuma ya huko singida mnaobisha leteni ushahidi kwamba chuga inazidiwa na wapi
 
Kusini yote ya moto, acha kufananisha watoto wa kusini na vitu vya ajabu..!! 😹😹

Kusini watu wamesusiwa misambwanda sio mpk uende uturuki..!!
Alafu huyo mwenye kitako kigumu kama kitako cha bunduki ni mkinga mwenzio🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom