Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Unatetea dada zako 😹😹
Sasa walioungua na meno na kudondokea bafuni kina nani??

Chuga si wamasai na wambulu?
Moshi hapo itoe hao ni special case..!! 😹😹
Jiji la arusha lina wanyaturu, wasonjo , wamasai , wa Iraq, wama nga'ati , wachaga , wameru ,wapare , warangi , wasambaa, wadigo , , na haya makabila zipo fimbo zimesimama hatari🤣

Toa hayo makabila yanayopatikana hapo arusha , watoe daslamu halafu taja warembo waliobaki🤣
 
Jiji la arusha lina wanyaturu, wasonjo , wamasai , wa Iraq, wama nga'ati , wachaga , wameru ,wapare , warangi , wasambaa, wadigo , , na haya makabila zipo fimbo zimesimama hatari🤣

Toa hayo makabila yanayopatikana hapo arusha , watoe daslamu halafu taja warembo waliobaki🤣
Wahadzabe mbona umewaacha au wenyewe sio wa Arusha?

Sasa wewe umewaweka mpk wahamiaji min, wahaya, wanyamwezi, wakinga, wanyakyusa, wasafwa. Masogange unajua ilikuwa chuma ya wapi? 😹😹

Nimesahu wasukuma na wangoni
 
Wahadzabe mbona umewaacha au wenyewe sio wa Arusha?

Sasa wewe umewaweka mpk wahamiaji min, wahaya, wanyamwezi, wakinga, wanyakyusa, wasafwa. Masogange unajua ilikuwa chuma ya wapi? 😹😹
Sio wahamiaji , jiji la arusha lina karibu robo tatu ya wakazi wote wa mikoa ya kaskazini.

Kusini ni wazuri sana , ila unaweza tembea masaa matutu ndio uwaone 😅
 
Sio wahamiaji , jiji la arusha lina karibu robo tatu ya wakazi wote wa mikoa ya kaskazini.

Kusini ni wazuri sana , ila unaweza tembea masaa matutu ndio uwaone 😅
Nenda Green city ukageuke uone watu walivyoumbwa wakaumbika achana na misumali hiyo..!! 😹😹😹

Huko watu wamefunga turbo wapo km wesusiwa hips na wowowo 😹😹

Hao huko ni weupe tu ndio unawabeba kwa hilo sikatai
 
Nenda Green city ukageuke uone watu walivyoumbwa wakaumbika achana na misumali hiyo..!! 😹😹😹

Huko watu wamefunga turbo wapo km wesusiwa hips na wowowo 😹😹

Hao huko ni weupe tu ndio unawabeba kwa hilo sikatai
Sio niende iringa ni kama kwangu , mbeya napafahamu vizuri sana , wapo wazuri kiasi chake , ila kufunga turbo na kumiliki vitambi ya nguruwe kusini mnatisha 🤣

Hao wa turbo ambao hawana vitambi labda uniambie kanda ya ziwa🤣
 
Sio niende iringa ni kama kwangu , mbeya napafahamu vizuri sana , wapo wazuri kiasi chake , ila kufunga turbo na kumiliki vitambi ya nguruwe kusini mnatisha 🤣

Hao wa turbo ambao hawana vitambi labda uniambie kanda ya ziwa🤣
Wewe unakutana na wauza ndizi bana..!! 😹😹

Vitambi wanaoongoza wachaga 🤣
Shepu zao zipo km simba juu wakubwaaaa chini wadogo 😹😹😹

Wahaya flat tummy na wanyamwezi, ushawahi kuwaona wanyamwezi waliomix na waarabu? Ningeweka picha sema nitakuwa nambunjia heshima bibi yangu..!!
 
Wewe unakutana na wauza ndizi bana..!! 😹😹

Vitambi wanaoongoza wachaga 🤣
Shepu zao zipo km simba juu wakubwaaaa chini wadogo 😹😹😹

Wahaya flat tummy na wanyamwezi, ushawahi kuwaona wanyamwezi waliomix na waarabu? Ningeweka picha sema nitakuwa nambunjia heshima bibi yangu..!!
Hahaha kusini kuna uhaba wa pisi bhana , sema wewe unavutia tu kwenu🤣 hao wachaga unaowasemea sio wasasa.
 
Hahaha kusini kuna uhaba wa pisi bhana , sema wewe unavutia tu kwenu🤣 hao wachaga unaowasemea sio wasasa.
Wewe inachanganya weupe na vyuma..!!

Mimi nna rafiki yangu manka ana rangi nzuri Ila shepu sasa 😹😹

Ukiona mchaga ana shepu basi kamix kabila, kusini kwa moto..!!

Haya kuna Jokate kutoka kusini, ile mi shangingi y’a kkoo yenye mitraacoo na mibebi face yote ile ya mtwara..!! Sema ni vile sio maarufu..!! 😹😹
 
Wewe inachanganya weupe na vyuma..!!

Mimi nna rafiki yangu manka ana rangi nzuri Ila shepu sasa 😹😹

Ukiona mchaga ana shepu basi kamix kabila, kusini kwa moto..!!

Haya kuna Jokate kutoka kusini, ile mi shangingi y’a kkoo yenye mitraacoo na mibebi face yote ile ya mtwara..!! Sema ni vile sio maarufu..!! 😹😹
Hahahahahah kusini nakataa kabisa , wala sio mambo ya weupe , huko zipo chuma za kikaksi hatari, japo wazuri hakuna sehemu wanakosekana😅
 
Kusini yote ya moto, acha kufananisha watoto wa kusini na vitu vya ajabu..!! 😹😹

Kusini watu wamesusiwa misambwanda sio mpk uende uturuki..!!
Hahahaha uzuri sio misambwanda tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom