Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Umepata bwana mchaga? 😹😹

Hao wachaga wenye makalio makubwa watakuwa wamemix Ila asilia wana maumbo ya simba..!!

Halafu na wahaya unawaweka wapi? Na wananyamwezi pamoja na wasukuma??

Arusha wamasai ndio wazuri lakini wachaga uongo pure uongo..!! 😹
Mimi marafiki zangu wengi wachaga Ila nawakalisha 🤣😜
Hao wahaya wanapishana uchagan kuchukua wachumba🤣
 
Umepata bwana mchaga? 😹😹

Hao wachaga wenye makalio makubwa watakuwa wamemix Ila asilia wana maumbo ya simba..!!

Halafu na wahaya unawaweka wapi? Na wananyamwezi pamoja na wasukuma??

Arusha wamasai ndio wazuri lakini wachaga pure uongo..!! 😹
Mimi marafiki zangu wengi wachaga Ila nawakalisha 🤣😜
Wahaya wana maumbo na si wote ndio ila sura zao kama wanataka kulia,, hapana hawawezi kufikia Arusha bhana

Kuna dada ni jirani yangu ana shape la kwenda na ni pure chaga
 
Wahaya wana maumbo na si wote ndio ila sura zao kama wanataka kulia,, hapana hawawezi kufikia Arusha bhana

Kuna dada ni jirani yangu ana shape la kwenda na ni pure chaga
😹😹😹 Una utani na kina koku sura km nini??

Kapeace matraco yako, pombe unazokunywa leo zimeflot angalia vizuri 😹
 
Stop, kadi tatu 😹😹
Wachaga wengi wanaoa wanyaki..!!
Sema wakinga ndo majeuri kuoa kabila nje ya wakinga wenzao, wamejitahidi basi wataoa wanyaki..!!

Sema babu yangu ndo alikuwa jeuri alivuta mmanga 😹😹
Wachaga wanaoa sana wa Iraq na wanyaturu , na wasukuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom