Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,599
- 95,279
Vyote weka 😹Hapa wewe unataka ushahidi gani, wa mkinga au wa kupewa chiu?😂
Vyote weka 😹Hapa wewe unataka ushahidi gani, wa mkinga au wa kupewa chiu?😂
Hapo kwenye ukinga ntathibitishaje muamala?Vyote weka 😹
Kazi unayoisemea ndio nimemaanisha sijawaza ujinga.Acha ujinga 😹😹
Kazi nyingine sio hiyo unayofikiria, Mangi kasafiri yupo Korea saa hizi..!!
sijakasirika mkuu ni tahadhali tuuMkuu mbona umekasirika sana. Lainisha moyo haya ni maisha tu. Una kingine cha kunitahadharisha nacho tafauti na hivyo?!
Serikali iwasambaze kama viroba vya mbolea ya Minjingu.Wewe unaonaje?
Bila picha ni mlenda kwenye pilauAisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi nzuri,African figure aloo unaweza kuuza ukoo. Jamani wanadaslama huko nitarudi in two weeks, sirudi mapema huko kunaboa!
Daah.! Mgalala neno limenikumbusha uboyzini Nyakato Bukoba enzi za headmaster Kansimba.Kapige mgalala kwanza akili ikukae sawa
😃😃😃Watalii hao 😂 😂 😂
OkSerikali iwasambaze kama viroba vya mbolea ya Minjingu.