Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Jirani sina vita na kabila lolote lile ila huyo ni mkinga.

Wapo wengi tu kazuri sana ila nyash ngumu kuliko maisha yangu 😂
Muongo wewe 😹😹🤣

Jirani stop, lamba Joker kadi tatu..!!
 
Si ndo pisi kali hizo 😹😹
No kwangu pisi kali ni hii

Uzuri wa kawaida usoni hata ikiwa sura ya baba kwa mbali fresh. Rangi pendwa chocolate au black mtelezo, guu fulani hivi zuri lenye nyama kiasi na nyuma liwepo kiasi.
 
Tulia wewe usikute ndio wewe 😂
Fake Id zinaficha mengi
Jirani weka bana, hata nikiwa mimi nitakwambia..!! 😹😹😹

Ila mi nimedate na Mangi tu hata wakinga wenzangu sijawahi..!!
Km wewe Mangi basi sawa..!

Lete evidence hapa na ninavyopenda ubuyu sasa.. 🤣
 
Jirani weka bana, hata nikiwa mimi nitakwambia..!! 😹😹😹

Ila mi nimedate na Mangi tu hata wakinga wenzangu sijawahi..!!
Km wewe Mangi basi sawa..!

Lete evidence hapa na ninavyopenda ubuyu sasa.. 🤣
Umenitisha ulivyosema nimempatia wapi huyo mkinga, isijekuwa dasalama upo peke yako na nilimuopoa kkoo.

Ushahidi siku nyingine nikumbushe kesho saa 3 usiku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom