Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Ni ubishi tu mi natokea juu kusini lakini katika zunguka yangu hapa bongoland kwa beauty ya hawa wanawake hakuna breki kuzidi Klm,Chuga,Singida na manyara
 
Hata mi mwanzo niliamini hivyo lakini baada ya kuishi huko na nikarudi kwetu tena ndipo niliona tofauti kubwa nilipoishi dar pia nikagundua asilimia 60+ ya wanwake wanaosumbua jiji ni kutokea kanda hiyo hiyo
Uongo dar wanasumbua warangi na yote sababu wagawaji sana 😹😹😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom