Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi nzuri,African figure aloo unaweza kuuza ukoo. Jamani wanadaslama huko nitarudi in two weeks, sirudi mapema huko kunaboa!
🚮🚮🚮
 
Uhalisia.. Arusha Wanawake wazuri wapo ILA.. sio kama DSM.

DSM kuna Pisi kali aisee..

Mie nipo Arusha kikazi huu mwaka wa 3 sasa.. ila kila nikirudi DSM kusalimia Familia aisee huwa nababaika sana.

Hata Mavazi.. DSM wanajua kupiga pamba..

Mji ni mdogo huu (Arusha Mjini ni kama Wilaya ya Temeke tu).

DSM nenda MWENGE nenda KIGAMBONI ferry pale... sehemu mbili tu hizo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom