Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Watoto wakali halafu hawana makuu, huko ni mchanganyiko, Chagani Maasai, Meru na Iraqw, aisee ni wakali ndo maana mm nasemaga Arusha kuhama lbd nihame now niwakute huko nitahamia.

Kwa ufupi ni kuwa wale mademu wakali wote unaowaona wanapita pale mkunguni posta Dar majority wanatokea ukanda huo!
Eti Mkunguni posta🤣 huwa unashinda kwenye yale magazeti , fundi viatu Au wakati unasubiri daladala?😂
 
Hata wakaka wa huko wapo vizuri, wanavutia na ngozi zao za ngamia.
 
Wanywa gongo na wavuta mirungi, hao aliowaona watalii 😹
Sio kweli pisi za chunga ndio za singida manyara moshi na Tanga, hata hapo daslamu ndio hizo hizo zinakimbiza😅
 
Sio kweli pisi za chunga ndio za singida manyara moshi na Tanga, hata hapo daslamu ndio hizo hizo zinakimbiza😅
Unatetea dada zako 😹😹
Sasa walioungua na meno na kudondokea bafuni kina nani??

Chuga si wamasai na wambulu?
Moshi hapo itoe hao ni special case..!! 😹😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom