Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Karibia majiji ya nchi hii nimetembeleamo,, arusha inao watoto wazuri, kati ya wanawake 10 basi 6-8 ni wakali wa kugeuza shingo. Ila mikoa mingine utapata 1 -3 basi hayo ya shape ni mengineyo
Uzuri wa rangi nyeupe labda Ila shepu hamna kitu 😹😹
Halafu wachaga mbona wafupi..!!

Labda wale wa Arusha wenyewe wamasai ndio wazuri..!!
 
Paul Makonda Baba Keagan zee la kupandikiziwa mtoto wa kichina.
😹😹😹 Mbona umesahau a.k.a yake maarufu
Zee la mivyeti fake 🤣

Wewe Hapa hakuna cha Pm wala Majaliwa tusogoe hapa hapa..!!
 
Uzuri wa rangi nyeupe labda Ila shepu hamna kitu 😹😹
Halafu wachaga mbona wafupi..!!

Labda wale wa Arusha wenyewe wamasai ndio wazuri..!!
Kwa nchi hii nakuhakikishia hiyo kanda inaongoza kwa wanawake wazuri,, jaribu kufatilia hata hapa dar watoto wanaosumbua mitaa ni kina nani

Uzuri wa mwanamke sio matako makubwa ingekuwa hivyo mbeya ingeshika namba,,halafu vilevile wapo wachaga wana makalio kama beseni

Wana rangi, ngozi nzuri, nywele, ule muonekano wa kike, inaweza isiwe umbo kubwa lakini ile mikato ya kike vihips tako kidogo nk vipo hicho ndicho kinawapa namba,
 
Tuseme tu chuma za kusini ni wife material 😅
Kwahiyo dada zako sio wife material?
Mbona rafiki yangu manka wife material mpk nashangaa huyu kweli mchaga..!! 😹😹

Halafu ni pure kote kote mchaga Ila anavyonyenyekea mwanaume utasema mtanga..!!
 
Kwa nchi hii nakuhakikishia hiyo kanda inaongoza kwa wanawake wazuri,, jaribu kufatilia hata hapa dar watoto wanaosumbua mitaa ni kina nani

Uzuri wa mwanamke sio matako makubwa ingekuwa hivyo mbeya ingeshika namba,,halafu vilevile wapo wachaga wana makalio kama beseni

Wana rangi, ngozi nzuri, nywele, ule muonekano wa kike, inaweza isiwe umbo kubwa lakini ile mikato ya kike vihips tako kidogo nk vipo hicho ndicho kinawapa namba,
Umepata bwana mchaga? 😹😹

Hao wachaga wenye makalio makubwa watakuwa wamemix Ila asilia wana maumbo ya simba..!!

Halafu na wahaya unawaweka wapi? Na wananyamwezi pamoja na wasukuma??

Arusha wamasai ndio wazuri lakini wachaga pure uongo..!! 😹
Mimi marafiki zangu wengi wachaga Ila nawakalisha 🤣😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom