Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Guys hapa Arusha kuna vyuma sio poa

Fala wee 😹😹
Hakuna mkinga anayegawa hovyo hovyo Mxieeeeww 🤣
Una kifua nikupe na ushahidi?
Mimi nna nyota na wa ukanda huo sana sijui ni kwa sababu ya urefu. Sijawahi kuwa karibu na ke wa kanda hiyo alafu asinipende, kuna mwingine nampiga chenga nae wa huko anataka tukonect device sucessfully nae ana kishundu amaizing ila sijui kitakuwa kigumu pia 🤣
 
Labda dar ya vilabu vya pombe za kienyeji ila sehemu classic lazima utakuta pisi za chuga moshi manyara singida ndo zinakimbiza
Kina sepenga si ndo pisi classic zinazotokea singidani..!! Ndo warangi hao.
We unajua warangi wa wapi?

Mahi ita boda ushaanza kutoka nje ya lane
 
Una kifua nikupe na ushahidi?
Mimi nna nyota na wa ukanda huo sana sijui ni kwa sababu ya urefu. Sijawahi kuwa karibu na ke wa kanda hiyo alafu asinipende, kuna mwingine nampiga chenga nae wa huko anataka tukonect device sucessfully nae ana kishundu amaizing ila sijui kitakuwa kigumu pia 🤣
Lete hapa mambo kwa ushahidi 😹😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom