mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,412
- 8,398
Hana uwezo. Alee wajukuu wake anaowapenda Sana
Kwa utamu uliopo Ikulu huwa nakuwa mgumu sana Kumuamini Mwanasiasa tena hasa hasa Rais aliyeko Madarakani akiwahi mapema kusema kuwa hatogombea tena Urais wakati hata Miezi yake 6 tu Ofisini bado hajaikamilisha.Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
Majaliwa ni very low IQ.Na ni vizuri iwe hivyo.
Majaliwa 2025 kijiti ni chako baba, Tunakuombea
Hakuna kitu kama hicho mama mwisho wake 25 tunamtaka kassim majaliwa kuwa raisiHuo ni pumbaza jinga.
Subiri by 2025, kampeni za hapa na pale za kumshinikiza na kumchukulia fomu zitapamba moto.
Tukitaka majaliwa lazima tumuombee mama azidi kuvulunda ndipo ccm na wabunge wanaweza kumkubali majaliwa kwa kuwa watakuwa wamepoteza mvuto kwa wananchi na jina la jpm litakuwa juu sana kwa raia hivyo watalazimika kumpa majaliwa maana watanzania wanataka raisi mwenye logic kubwa na kauli mojaNa ni vizuri iwe hivyo.
Majaliwa 2025 kijiti ni chako baba, Tunakuombea
Executive miscariage in the state house.Rais wa JMT Mh Samia Suluhu Hassan amesema hana wazo la kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 1887958
Chanzo: Gazeti la CCM, Uhuru
😂😂😂😂That's a political language. Angesema: ^Sitagombea 2025,^ tungemwelewa!!! Leo hana wazo la kugombea; vipi wazo hilo likimjia kesho au keshokutwa, kama hili la ^ugaidi^ wa Mr Hai?
Wanahamisha upepo kutoka kwenye kesi ya Mbowe na Tozo za miamala!Huo ni pumbaza jinga.
Subiri by 2025, kampeni za hapa na pale za kumshinikiza na kumchukulia fomu zitapamba moto.
Faida ni kupunguza kunyoshewa vidole maana watu watasema anamalizia muda wakeNini faida ya kusema hivi sasa hivi, zaidi ya kuwafanya watu waache kufanya kazi na kupanga timu za 2025 ?
Hata kama hauna mpango si ufanye siri yako...
Au ana hofu gani pengine sijui kwamba eti pengine Tanzania sasa maprezidenti hawawezi kukamilisha sekenditemu!???Bado watanzania tunamuhitaji sana, kwa jinsi anavyo upiga mwingi tunaamini anatosha hadi 2030 atakuwa amekamilisha ungwe yake ya kuongoza kwa miaka 10.
taratibu na desturi za chama ni kuwa Rais anaye ongoza ataongoza/kugombea kwa mihula miwili (10).
itakapo fika hiyo 2025 matakwa ya watanzania ndio yatakayo amua. sio yeye.
Siyo kweli ingekuwa mama kapokea kijiti toka kwa kikwete basi ikulu ingekuwa tamu sana ila ukumbuke kapokea kijiti toka kwa magufuli machine ya mipango na kaziKwa utamu uliopo Ikulu huwa nakuwa mgumu sana Kumuamini Mwanasiasa tena hasa hasa Rais aliyeko Madarakani akiwahi mapema kusema kuwa hatogombea tena Urais wakati hata Miezi yake 6 tu Ofisini bado hajaikamilisha.
kwanza tumuondowe Gaidi namba moja Tz. a.k.a mr. DJHuyo mama kapwaya mnoo ! Akili zenyewe hana ! Uraisi sio masihara jamani ! CCM ni zaidi ya balaa ! Shime shime tukiondoe madarakani kidemokrasia tupate kupumua mweeee ! #KATIBAMPYAMUHIMUSANA
Katika ccm ndiyo top wengine wote ni very very very very low IQ bora majaliwa ni low IQMajaliwa ni very low IQ.
Hoja dhaifu sana hii Ndugu. Pole mno.Siyo kweli ingekuwa mama kapokea kijiti toka kwa kikwete basi ikulu ingekuwa tamu sana ila ukumbuke kapokea kijiti toka kwa magufuli machine ya mipango na kazi