Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,853
- 19,750
Nasikia alisema kwamba alimwelewa sana Chuma, alifundishwa akafundishika!!! Nilivyoona anakohoa kama mara elfu hivi na kitu pale akihutumia BRT kwa dakika 3 (ieleweke Lowassa, pamoja na uzee na ugonjwa wake, alikuwa anahutubia dakika hadi 5 nzima!!!), basi nikathibitisha hapo tumepigwa!!!Ukweli usiopingikika ni kuwa Mama amepima Upepo na ameshaona maono kuwa "Hatoshi". Na kwa mwenye uwelewa wa hali ya Kisiasa kwa sasa nchini analiewelewa hili dhahiri bila ya yeye kusema lolote.