FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

quote_icon.png
By Filipo Nina wife mzuri kuliko marejesho! Anaitwa Mrs. sweetladyFilipo




Filipo haya mambo yamekaaje tena? I still love you hubby.

Mwache aende. Nipo hapa kwa ajili yako.
 
Last edited by a moderator:
Pawa mabula alikuja kijijini kwetu, akawa anapita mitaani huku akitangaza kuwa ana uwezo wa kuivuta Land Rover 109 kwa meno.
Alipofika mtaa wa pili akakuta Scania 112 ina trela iko kwenye tope lakini inatoka taratibu kama inasukumwa nyuma, alipoenda akakakuta katoto kana miaka 7 kanaisukuma peke yake.
Pawa Mabula Akazimia

hahahahaha Bujibuji The Don Jk umeua. Duh
 
Last edited by a moderator:
hahaha! Wifi una mambo wewe! Akiomba ruhusa anaruhusiwa kabisaaaa.... Hivo Madame B kisha kuwa reported hata mdogo wangu gfsonwin na msiri wake Mwa J walipewa copy ya hiyo ruhusa toka kwangu...

Kwa hiyo wivu wako upo pendind? We si ulisema kuwa ni kiwanda cha wivu? Au production imesimama?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo wivu wako upo pendind? We si ulisema kuwa ni kiwanda cha wivu? Au production imesimama?

Nicas relax kakangu.. Take note: hapa tupo CC.. Pale ilikuwa MMU. Sinaga mzaha katika mahusiano na mapenzi yangu. Misimamo yangu ni ile ile... Haiyumbi.
 
hata huyo dogo hapo alijipa moyo kama wewe, sasa hivi kabla ya kuanza kuita jina lake lazima uanze na MAREHEMU ...

Sasa watu8 ubabe siujui ila najua tuu kuchukua wake za watu sasa sijui nitumie hilo kukushinda
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom