FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Zombiiiiii!!!!!
kaainisha mwenyewe kuwa mumewe ni nani, sasa mliobaki tuwaiteje kama sio zombiiiii...

Haya ngoja nkupe jina zuri... MBEBA MAUA...
charminglady unaweza shangaa nitonye ni mwanaume suruali tuu mwanaume anamuacha mke wake mwaka hajaonekana nae anahesabiwa
Wale wanaomhudumia ndo halisi

Achana na huyu sis charminglady bana! Hapo hakuna zombie hata mmoja manake kila mtu nimemgaia kipande chake cha moyo afu Mr Rocky nimekugaia kikubwa kuliko wote! Filipo kake kadunchuuu na tena akizubaa nakichukua afu nakiongeza kwa Mungi.


Mi nataka na cha Mungi nikae nacho maana nae amezidi sana kwa ubahili hata huduma kwako hatoi anasubiri tulete na yeye aponee hapo hapo
 
Last edited by a moderator:
Hivi yale matangazo ya 'TUKO WANGAPI,TAFAKARI' Madame B kumbe wewe hayakuhusu?
Itabidi hawa jamaa tuwaambie waache kupoteza fedha zao za matangazo maana ni kazi bure.....

Yale ni Special kwa wasiotumia zana.
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By Filipo Nina wife mzuri kuliko marejesho! Anaitwa Mrs. sweetladyFilipo



Filipo haya mambo yamekaaje tena? I still love you hubby.
 
Last edited by a moderator:
Kwanza umeliona hlo jina lake?
Utata mtupu.
Ndo hapa tunapoishia kuwazaa akina Siajabu, Sikitiko, Chaupele, Chausiku, Mateso, Siwajibu nk.
Madame B hujambo Mwalimu wangu? hapa tunadiskasheni gani eti?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom