Hahahahahahahaha! Mbavu zangu mie lolAtamwonea wapi wakati hata yeye hajui alikuwa wapi?
kwani ulitaka ninune ndugu yangu mandingo acha nifurahi kwa raha zangu kwani raha najipa mwenyewe sitaki za kusubiria ni mbaya mbayaaaaaaaaaaaaaa
unasemaje filipo au unataka kununua kesi ya mwenzio mandingo itakushinda hiyo uisiingilie kichwakichwa ndugu yangu tuache mm na mandingo weeeeeeeeeeeeee
ingia kama unataka sijakuzuia wasiwasi wako tu ingia ukipenda hata sasa ila niko bize na vikazi hapa, usijali ingia tu
ingia kama unataka sijakuzuia wasiwasi wako tu ingia ukipenda hata sasa ila niko bize na vikazi hapa, usijali ingia tu
ladyfurahia unamkaribisha wapi Filipo ?
Ha ha ha!! Na cheti cha ndoa nimekikuza na kuweka kwenye fremu kabisa!!Ila ndio hivyo tena Arushaone !