FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Missing you a lot Mungi .... Bado uko Dubai?

hahaaaaaa............ kesho nazifunga mjini nimechoka kuzurura.
thanks..... hongera kwa kumpata braza Filipo! sijui umemlisha ile mamitego yenu
 
Last edited by a moderator:
Furahi pamoja nami then tukikutana baadae ntakuambia hicho nnachofurahia!

Mambo Filipo !

mambo mabaya sana! Hivi nitonye umemweka kwenye chupa ya maji, coke, bia au Kiroba. Mbona hasomeki tena siku hizi?
 
Last edited by a moderator:
Hii inaitwa 'Operesheni garagaza Filipo'... Hatukuachi upumue, mpaka safari ya tanga ifike umechakaa kama L...owa...hasa!

hunisumbui kabisa. Mwenzio nimeogea mpendwa pendwa ndio maana ukiniona tu.......
 
Last edited by a moderator:
hahaaaaaa............ kesho nazifunga mjini nimechoka kuzurura.
thanks..... hongera kwa kumpata braza Filipo! sijui umemlisha ile mamitego yenu
Ha ha ha! Mbona unaruka Mungi?? Wewe pia nimekupata nipe hongera lol...

Zifunge mwaya manake kuzurura sana sio vizuri...utanikuta KIA nakusubiri unikabidhi ile zawadi ya dera uloahidi kuninunulia!
 
Last edited by a moderator:
aisee mi nikitaja vikwangu si mtakimbia! Infact mimi namiliki mgodi wa dhahabu, baiskeli moja ya Avon, nina yebo yebo pea tano, nina miliki pori la kukamatia senene, ninamiliki kitanda cha kamba hicho kimetengenezwa USA yaani United States of America
 
Ha ha ha! Mbona unaruka Mungi?? Wewe pia nimekupata nipe hongera lol...

Zifunge mwaya manake kuzurura sana sio vizuri...utanikuta KIA nakusubiri unikabidhi ile zawadi ya dera uloahidi kuninunulia!

Halafu wewe mbona hulali nyumbani?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha! Mr Rocky usijali nishakuombea msamaha dia, hatakufanya chochote lol. Unamuona sis wangu alivoenda hewani eeh? Familia yetu haichokozwagi kwaajili yake!

Mhhh ila miili ya mabaunsa bana sio issue kabisa aise sweetlady mi nishakuwa mpole mimi na mwili wangu mdogo mdogo kama wa Mungi ngoja nitulie tuu
 
Last edited by a moderator:
aisee mi nikitaja vikwangu si mtakimbia! Infact mimi namiliki mgodi wa dhahabu, baiskeli moja ya Avon, nina yebo yebo pea tano, nina miliki pori la kukamatia senene, ninamiliki kitanda cha kamba hicho kimetengenezwa USA yaani United States of America

nilidhani unammiliki sweetlady, kumbe unapitaga tu! Ndio maana anatusumbua!!?
 
Last edited by a moderator:
hahaaaaaa............ kesho nazifunga mjini nimechoka kuzurura.
thanks..... hongera kwa kumpata braza Filipo! sijui umemlisha ile mamitego yenu

anipate wapi? Kwanza hajatulia! Si unaona nitonye anasema halali nyumbani?
 
Last edited by a moderator:
aisee mi nikitaja vikwangu si mtakimbia! Infact mimi namiliki mgodi wa dhahabu, baiskeli moja ya Avon, nina yebo yebo pea tano, nina miliki pori la kukamatia senene, ninamiliki kitanda cha kamba hicho kimetengenezwa USA yaani United States of America
Honey ! Darling ! Sweetlove nitonye! Missing you baby !
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom