FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Madame B hujambo Mwalimu wangu? hapa tunadiskasheni gani eti?

Mimi bukheri na tineja wa afya mwanafunzi wangu.
Eti mwanafunzi wangu Kaizer,tangu umemaliza kozi yangu mpaka sasa unamiliki nini?
P'se usiniige mwalimu wako,
Mimi ni Kioo cha Jamii.
 
Last edited by a moderator:
Mimi bukheri na tineja wa afya mwanafunzi wangu.
Eti mwanafunzi wangu Kaizer,tangu umemaliza kozi yangu mpaka sasa unamiliki nini?
P'se usiniige mwalimu wako,
Mimi ni Kioo cha Jamii.
Madame B mwalimu wangu, mimi najisifia kukumiliki wewe, kwa maana ya ujuzi, ujanja, wepesi wa kuchanganua mambo, heshima kwa watu, nk, yaani

najisikia ni ndani mwako kabisaa....kila nikipiga picha, taswira yako yanijia kichwani, basi mi wala sina makuu natekeleza maagizo yako mwalimu wangu. Sina kingine cha kujionea fahari zaidi ya hayo......:shut-mouth:
 
Last edited by a moderator:
quote_icon.png
By Filipo Nina wife mzuri kuliko marejesho! Anaitwa Mrs. sweetladyFilipo




Filipo haya mambo yamekaaje tena? I still love you hubby.
Ha ha ha ha! Lazima presha ipande mwaka huu lol
 
Last edited by a moderator:
Zombiiiiii!!!!!
kaainisha mwenyewe kuwa mumewe ni nani, sasa mliobaki tuwaiteje kama sio zombiiiii...

Haya ngoja nkupe jina zuri... MBEBA MAUA...

Achana na huyu sis charminglady bana! Hapo hakuna zombie hata mmoja manake kila mtu nimemgaia kipande chake cha moyo afu Mr Rocky nimekugaia kikubwa kuliko wote! Filipo kake kadunchuuu na tena akizubaa nakichukua afu nakiongeza kwa Mungi.

Kazi yangu ni kuhakikisha kuwa hufi kwa presha wala kisukari lol. Niko upande wako daima Mr Rocky!

Hiyo safi sana sweetlady maana nikiw ana presha hata utendaji wa kazi hauendi
 
Last edited by a moderator:
Kwanza umeliona hlo jina lake?
Utata mtupu.
Ndo hapa tunapoishia kuwazaa akina Siajabu, Sikitiko, Chaupele, Chausiku, Mateso, Siwajibu nk.
Mwenzangu lol. .. Jina lenyewe utata mtupu! Sikushauri dia
 
Last edited by a moderator:
kila nilicho nacho ni mali yake MUUMBA! hakuna ninachomiliki!! ila kuwa na AMANI na KUPATA USINGIZI USIKU, SINA BUDI KUSEMA AHSANTE MUNGU, amen!
 
Kutana na watu8...ana minguvu kama Power Mabula, ana uwezo wa kupuliza chupa ya soda hadi inapasuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom