FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

watu8 wewe hujaelewa nivea aliposema ana bikra 1 wa kiume na mwingine wa kike alimaanisha ana watoto 2 wadogo. ME na KE. Usiwn na kasi ya kufungua mabano kabla hujaelewa formular. ok?

hahaha mie nimemuelewa sana, ila mie mtu wa maskhara sana na nivea analijua hilo....
 
Last edited by a moderator:
sio ukabila ila karibu kila kabila lina sifa zake
wahaya ----->>> kujisifia

Oraiti nimekupatamo nyasiro. Rest in pisi muda ushaenda huu. Mimi niko zamu ya ulinzi shirikishi.
 
Last edited by a moderator:
Hayamuhusu kivipi wakati nakuona hapa unavyosumbuana na sweetlady,unafikiri yeye sio binadamu .. ??Au ndo nyie mnaoringia eti mke wangu tumetoka mbali wakati mmetoka hapo Kwangulelo tu. marejesho naomba unijibu PM yangu mama......

St. Paka Mweusi bora umeliona hilo !!!Watu wakipata wake waliotulizana hawaoni!!Naona kina Filipo wamesahau kwamba moyo ni wa nyama na sio plastic!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom