FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

hah hah hah hah!! Tumezisoma tukazipuuzia! Pole sana. sweetlady kaitwa na mumewe nitonye! Sijui leo atalala tena nje au wataenda nyumbani! Maana jamaa kalalamika sana hapa!
Umeulizwa? Unafafanua kama balozi wa ccm bana! Nna hasira zako na za Mungi pia nnazo, mje mzichukue kabla jua halijazama!
 
Last edited by a moderator:
Umeulizwa? Unafafanua kama balozi wa ccm bana! Nna hasira zako na za Mungi pia nnazo, mje mzichukue kabla jua halijazama!

hah hah hah hah! Kwanza umetoka wapi!? "mbona hulali nyumbani!?"- nitonye. Kwi kwi kwi kwi!
 
Last edited by a moderator:
ili uyaamini maneno yangu mapema, unatakiwa uanzie pale anapolala nje ya nyumba ujue anakoenda kulala. nakuambia sweetlady ametupanga kwemye foleni kama tupo kwenye kura
Ha ha ha ha! Haya yanaitwa majungu squad dot com lol. Mungi thibitisha!
 
Last edited by a moderator:
hayanihusu kabisa! Tatizo ni yeye kuja kulalamika hapa kijiweni! Hivi kwenu hamna wazee? Ngoja niwaitie tena Baba V!
Tulikuwa tunataniana na husband , nashangaa harusi sio yako umeivalia kanzu!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom