FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Hii biashara ya kulala nyumba za wageni kero jamani! eti kikaroti changu kinataka nikitumbukize kwenye sufuria nikichemshe. sweetlady nilitee hicho kisufuria chako nikitumie kama juzi........ usimweleze nitonye kama kawaida yetu mummy

Who is Mungi?
 
Last edited by a moderator:
Inaturusha sio kidogo, mie nna mpango wa kuhamia arusha, Filipo si utakuwa mwenyeji wangu eeh? Arusha mpo juu sana!

hah hah hah hah! Nyie ndio wenyeji mnao lala guest!
 
Last edited by a moderator:
Inaturusha sio kidogo, mie nna mpango wa kuhamia arusha, Filipo si utakuwa mwenyeji wangu eeh? Arusha mpo juu sana!

mie nilidhani nawe upo huko hahaha kumbe wa hapa hapa
 
Last edited by a moderator:
Mwulize sweetlady akuambie Mungi ni nani hahaaaaaa! lakini usipate hofu, manake sufuria la sweetlady huwa akinipa siliweki kwenye jiko la mchina, natumia gesi ili isipate masizi!

Huna adabu kweli nitakutukana kikubwa, huna ubavu wa kuliona sufuria la my wife
 
Last edited by a moderator:
Hili jukwaa huwa sikosi ban! Kwa herini na majisifa yenu hayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom