Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Hayo maneno yako yatanichukua mda kuyaamini halafu nyie ni wanafiki mnaleta chokochoko ili nimteme my wife
ili uyaamini maneno yangu mapema, unatakiwa uanzie pale anapolala nje ya nyumba ujue anakoenda kulala. nakuambia sweetlady ametupanga kwemye foleni kama tupo kwenye kura
Last edited by a moderator: