Bado wengine atawashughulikia pia....mie nilishajitoa
Akiona jina lako tu mapigo ya moyo yanabadilika! Mume chai tayari!Kumbe na wewe upo?
Umejitoa au umetolewa?
Weeeeh! We we weeh! Ukome kabisa. Uje uniwekee makitu ulomwekea nitonye akawa hivyo!? Sitaki kabisa!
Kumbe na wewe upo?
bora na wewe umeamka.....:glasses-nerdy:
Aaah wapi! Sema vizurinimeresign.....
ukweli unauma eeh!
We mzee si unatakiwa ukatoe maamuzi ya kamati leo!? Umetoka wapi huku saa hizi!