Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Nani asalimu amri!!? Ntafia kifuani!! Hah hah hah haaa!
Hata low war hasa naye ana ndoto za kuwa kama jah kaya.. Huzuiwi kuwa na ndoto
Nani asalimu amri!!? Ntafia kifuani!! Hah hah hah haaa!
Yanakuhuuuuu!kwenye blue na red wizi mtupu..
aisee mi nikitaja vikwangu si mtakimbia! Infact mimi namiliki mgodi wa dhahabu, baiskeli moja ya Avon, nina yebo yebo pea tano, nina miliki pori la kukamatia senene, ninamiliki kitanda cha kamba hicho kimetengenezwa USA yaani United States of America
Mgodi wa dhahabu kumbe ndo Barick Gold mines.,
Mwaaa ! Mwaaa ! Mwaaa! Usikubali watuchonganishe darling wangu!Hayakuhuuu
kwenye blue na red wizi mtupu..
Mwaaa ! Mwaaa ! Mwaaa! Usikubali watuchonganishe darling wangu!
Mwaaa ! Mwaaa ! Mwaaa! Usikubali watuchonganishe darling wangu!
Umeona eh hapa akili inanicheza
Hayo yamepita tulishasameheana zamani tena ukome kukumbushia yaliyopita! Hayakuhusu Bishanga!mmmmh haya! yangu macho,we sweetlady unadhani nshasahu ulivyomfanyia ndugu yangu nitonye kwa Vin Diesel? mla ndizi husahau,mwokota maganda?
Hayo yamepita tulishasameheana zamani tena ukome kukumbushia yaliyopita! Hayakuhusu Bishanga!mmmmh haya! yangu macho,we sweetlady unadhani nshasahu ulivyomfanyia ndugu yangu nitonye kwa Vin Diesel? mla ndizi husahau,mwokota maganda?