FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

FUNGUKA;.leo kila mtu ajisifie...

Namiliki bastola 2, na bikira 1 ya kike na 1yakiume
 
Kama nimemfurahisha na yuko karibu yako hapo mwambie hanitendei haki kwa kutojibu PM yangu halafu msalimie sweetlady.....

hah hah hah hah!! Tumezisoma tukazipuuzia! Pole sana. sweetlady kaitwa na mumewe nitonye! Sijui leo atalala tena nje au wataenda nyumbani! Maana jamaa kalalamika sana hapa!
 
Last edited by a moderator:
Kama nimemfurahisha na yuko karibu yako hapo mwambie hanitendei haki kwa kutojibu PM yangu halafu msalimie sweetlady.....

hah hah hah hah!! Tumezisoma tukazipuuzia! Pole sana. sweetlady kaitwa na mumewe nitonye! Sijui leo atalala tena nje au wataenda nyumbani! Maana jamaa kalalamika sana hapa!
 
Last edited by a moderator:
Wewe watu8 unamwambia Madame B machalii wa 'R' wamekufanyaje?

mie hawajanifanya chochote, ila wameiclose initial thread na waifungua thread nyingine ndani ya ile ya awali....aka wamechakachua meeen!!a
 
Last edited by a moderator:
Ipi ipo mbele na ipi ipo nyuma???

watu8 wewe hujaelewa nivea aliposema ana bikra 1 wa kiume na mwingine wa kike alimaanisha ana watoto 2 wadogo. ME na KE. Usiwn na kasi ya kufungua mabano kabla hujaelewa formular. ok?
 
Last edited by a moderator:
Ipi ipo mbele na ipi ipo nyuma???

watu8 wewe hujaelewa. nivea aliposema ana bikra wa kiume na mwingine wa kike alimaanisha ana watoto 2 wadogo. ME na KE. Usiwe na kasi ya kufungua mabano kabla hujaelewa fomular. ok?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom