Katiba mpya itoke wapi? We endelea kufanywa mpira wa dana dana huku mwenyekiti na genge lake wakiendelea kuupiga mwingi kupitia mialiko ya raisi. Mmeshaambiwa siku zote hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Jamaa anatengeneza pesa ndefu kupitia siasa uchwara, huku akiwaacha watu wenye misimamo thabiti na chama wakiendelea kutokwa mapovu huko belgium na canada. Endelea na kazi ya kuwarubuni wana mbeya ili itapokuwa inaanzishwa michango ya chama wawe mstari wa mbele kukichangia.
Kwa hiyo Samia amempa Mbowe Pesa ili aende ikulu?
 
Mbona CCM mmeanza kulalamika tena Kama watoto wa kambo? Si mlisema Mbowe ni gaidi ninyi mkishirikiana na genge lenu la akina Kingai na Mahita.
Subirini mfunzwe siasa ninyi buku7 wapiga deki na kubrashi viatu hapo Lumumba.
Ndio maana Polepole alikuwa anawauliza mnaijua VX ninyi buku7?
Retired siyo buku fc, angalia record kabla ya kumshambulia!
 
Mtanisamehe lakini naona CCM ikifaidika na hii mikutano kuliko CDM.
Kwanini uombe msamaha na wakati unatumia uhuru wako wa kutoa maoni kama wanavyotoa watanzania wengine? Huu ulioandika hapa ndio ukweli. Haya yangefanywa na ACT wazalendo, CUF au mzee wa ubwabwa lazima wangeitwa wasaliti.
 
mie kwa ujumla nakubaliana na siasa za mama Samia Suluhu Hassan,hatutaki siasa za uhadui bali umoja na mshikamano ili mambo yaende.Ongela sana mama
 
Hivi Chadema wote mna ukosefu wa afya ya akili? Reconciliation on what? Kuna nn kilitokea hadi mtake reconciliation? Hivi mna mdekea nani? Mmeshindwa uchaguzi, kila mahali CCM inawapiga vibaya, mnataka reconciliation kwa lipi? Alafu acheni ujinga, nendeni mkafanye kwanza hiyo reconciliation kwenye Chama chenu ambapo Mwenyekiti dictator hatoki ni yeye tu, yaani mkajadiliane wenyewe huko, mtatue matatizo yenu huko.
Haya maneno yapo nje ya mda, na huwaambii watu sahihi! Ungesema mapema na ungemwambia Samia na serikali kwa ujumla! Lakini kwa ulivyo jam unaonekana tu Ni mmoja wa wale wenye mawazo mgando ya Ki-sukumagang! Kuganda kwa akili zenu siyo afya, pamoja na kwamba mnajiona mna akili sana, royal tour wewe!
 
Tangu Mbowe aanze kwenda huko hakuna hata jambo moja lililowahi kufanyiwa kazi na serikali, sijui ugumu wa Samia kufanya hivyo unatoka wapi, na sijui uvumilivu wa Mbowe utaendelea mpaka lini, naona utani unazidi.

- Lissu bado hajarudi nchini, hii inawezekana bado hajahakikishiwa usalama wake.

- Mikutano ya vyama vya siasa bado haijaruhusiwa japo ni takwa la kisheria.

- Wale wahujumu uchumi 19 bado wanakumbatiwa na Spika kule bungeni kinyume cha sheria.
Huna akili huoni Leo vimekutana vyama vikuu na serikali yake
 
Wakuu,

Muda huu M/Kiti wa CHADEMA na viongozi waandamizi 9 wa chama hicho wapo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Tutarajie jambo gani jipya? Ndo ukurasa mpya wa Siasa za Tanzania?

UPDATE:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha majadiliano pamoja na Viongozi Wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 20 Mei, 2022.

Baadhi ya Viongozi wa CHADEMA waliohudhuria Kikao hicho ni Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Saidi Issa Mohamed, Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika pamoja na Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na Sekretarieti ya Chama hicho.

View attachment 2232248View attachment 2232250
View attachment 2232257View attachment 2232258View attachment 2232259

View attachment 2232260
View attachment 2232570
Pascal Mayalla britanicca Mshana Jr
 
Kulala na viatu kivipi.. serikali yetu, raisi wetu, chama chetu, wapinzani wametoka huko walipotoka kuja kumuona mwenyekiti ambae ni wa kiongozi wa chama chetu, so what else! Sina cha kupoteza kijana.
Huna cha kupoteza ila roho mbaya tu
 
Kwa vile imeshindikana kuchukua hatua ngumu na kuna nafasi ya kuweza kuzuia au kukomesha ushetani huo ni ni busara kuichukua nafasi hiyo ili ushenzi kama huo usitokee siku zijazo. Tumpe muda Rais Samia,kwani hadi sasa hatujajua majadiliano yamefika wapi. Heri nusu ya Shari kuliko Shari Kamili.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
sahihi
 
Hivi Chadema wote mna ukosefu wa afya ya akili? Reconciliation on what? Kuna nn kilitokea hadi mtake reconciliation? Hivi mna mdekea nani? Mmeshindwa uchaguzi, kila mahali CCM inawapiga vibaya, mnataka reconciliation kwa lipi? Alafu acheni ujinga, nendeni mkafanye kwanza hiyo reconciliation kwenye Chama chenu ambapo Mwenyekiti dictator hatoki ni yeye tu, yaani mkajadiliane wenyewe huko, mtatue matatizo yenu huko.
An example of hopeless politician
 
Hakuna upinzani wa kweli Tanzania..


I repeat,


Hakuna upinzani wa kweli Tanzania.

Period.
 
Back
Top Bottom