Kwahiyo?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
View attachment 2819874View attachment 2819875
View attachment 2819876
Ila Tanzania inahitaji maombi,sasa mtu kama Nape na January wanamshauri nini Rais!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
View attachment 2819874View attachment 2819875
View attachment 2819876
Wanamwambia TZ hakuna upinzani sasa🤣🤣🤣🤣Ila Tanzania inahitaji maombi,sasa mtu kama Nape na January wanamshauri nini Rais!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mkuu ni aibu sana basi tu,uchawi upo Ndugu!Wanamwambia TZ hakuna upinzani sasa
Wanalipana posho za vikao mwisho wa Mwaka huu Kuna sherehe nyingi zataka matumizi ya pesa😂😂😂😂
Kabisa MkuuHawana jipya hao.
Si chochote na wala si loloteRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
View attachment 2819874View attachment 2819875
View attachment 2819876
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 20 Novemba, 2023.
View attachment 2819875