UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 727
- 2,203
Umepenyezewa matakoni wala si chini kwa chini
Baada ya gaidi mkuu kufa na kufukiwa chato gaidi jike anatuhumu raia wema ndo magaidi, mtajua hamjui tukianza kuchinja mmoja baada ya mwingine, msijifanye mmesahau KibitiGaidi kagundulika
Mbowe na wenzake ni magaidi.Baada ya msemaji wa polisi kuibuka na kuutangazia umma kwamba Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kujiusisha na mambo ya ugaidi......imeshtusha sana.
Ni kweli Jeshi la Polisi lina uweledi mkubwa kwenye ugunduzi wa mambo yanayohusiana na uhalifu, lakini kwenye hili tuombe Allah...iwe kweli, ila ikiwa vinginevyo baadhi ya viongozi wawe na tabia ya kuwajibika kwa manufaaa ya Taifa letu pendwa Tanzania.
Matakoni ni wapUmepenyezewa matakoni wala si chini kwa chini
Kwahiyo Mbowe kamuua Magufuli?Basi Nchi nzima hatuko salama vikosi vyote vya ulinzi na usalama vivunjweBila kupoteza Muda nimepenyezewa za chin chini kua Mbowe alijua kua Tayar usalama umesha Mtambua Yeye ni Nan na mipango yake hata kabla ya kongamano la Katiba Kuanza ivyo akaona njia salama ya yeye kupata Utetezi ni siasa...
Anayekula nyama ya mtu haachi , zamu yako haiko mbaliMatusi yenu HAYATAWASAIDIA kupata katiba mpya.....
Kedi zenu HAZITOWASAIDIA LOLOTE.....
Watanzania wamewashtukia ninyi mawakala wa NCHI ZINAZOPENDA UKOSEFU WA UTULIVU BARANI AFRIKA....
ENDELEENI KUJIOTESHA NDOTO ZA MCHANA
Siasa zipi za kizamani,kudai katiba ya wananchi?Hakuna kiongozi yeyote makini anaetaka amani na utulivu akawavumilia chadema na huu ndo ukweli Chadema mnafanya siasa za kizamani sana mnafanya siasa zilizokuwa zinafanyika enzi za kupigania uhuru
JPM ndo aliwaweza vzr Gwanda zilikuwa night dress mnazivaa usk wkt wa kulala
Watu wanakufa kwa maradhi yao ya kujitakia anasingiziwa Mbowe anawauwa ! What a Shame ! Huyo bi mkubwa wenu ni mweupe kuliko maelezoVipi wewe bado hawajaja kukupekua dada?
Hawa huwa wanaburuzwa tu , Mwakitalu alikuwapo hapohapo enzi za MgangaDPP Mwakitalu - mtego wako wa kwanza ndio huu - utapeleka kesi mahakamani au utaona haina mashiko?
Kweli wewe ni mpuuzi.Uchochezi ni nini?
Sasa kaka yake Mbowe alikuwa na ubishi na ujinga gani hadi ang'olewe na corona?Magu yeye mwenyewe alijitengenezea maadui kumzunguka na ndio waliokuwa wanatoa taarifa. Haikuwa vigumu kwani alikuwa mtu wa kupenda sifa, kwa hiyo asingekubali kukaa kimya kama ni mzima.
NB: Tuendelee kufuata masharti ya WHO kujikinga na Covid. ipo na inawang'oa wabishi na wajinga.
Upuuzi ni NiniKweli wewe ni mpuuzi.