Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
leo zamu yenu, liver nao first leg walimis sana magoli na mtafungwaHali so shwari huku,tunamiss sana magoli
Tunashinda hili game ,hata mwaka Jana liver alikuwa juu dhidi ya Madrid at the end alioga.leo zanu yenu, liver nao first leg walimis sana magoli
Wapinzani wanajituma sana
Duu mwanangu wewe barca,chelsea,hazard kama mimi??Tunashinda hili game ,hata mwaka Jana liver alikuwa juu dhidi ya Madrid at the end alioga.
Duu mwanangu wewe barca,chelsea,hazard kama mimi??
Ngoja tuone sec half itakuajeWanajitahidi kulipa madeni ,nasi tutawaongeza mkopo bila mashariti.
Amini nawaambia Liverpool anakufa kwake Leo goli 3-1
Narudia tena UEFA inarudi Barcelona huu mwaka ,ni wa treble
Sidhani kama messi atamuacha MTU Salama.Ngoja tuone sec half itakuaje