FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Viwango vimeshuka. Vigogo barca na los blancos naona wapo usingizini. Barca sijui kama wamestuka kuwa xavi na iniesta hawapo. Wanahaha kuliweka benchi lao la ufundi mfano mzuri ni tetesi za kumleta mkurugenzi wa ufundi kutoka roma mr. Monchi ambae alifanya kazi hiyo akiwa sevilla. Scouting isiyoridhisha inaoneshwa na hii miamba miwili
 
IMG_20181001_221923_940.jpeg
 
Wameua lamasia wanaua na timu kwa sababu ya makocha wetu sio wazur mfano ni huyo kocha anabebwa na tym hana uwezo wowote makocha bora duniani ni klop gudiola na pochetino mm nawakubali we jiulize enrique baaada ya kutoka barca club ipi ilimuhitaji? Kocha anamueka benchi lapulga kisa uefa ?! Hana ubunifu wowote wowote tumekuwa kama man u daaaaaaah!? Ni hatareee kumbukeni mess kwa kasinalioifanya leo halafu na umri unaenda.Zidane mpaka leo yupo benchi tuuuuuu
Maneno kuntu kabisa, kati ya hao makocha uliowataja mmoja wao ana2faa sana
 
Ila guys Barcelona ya zama hizi inaua sana vipaji vyake vya La masia kwa kukununua wachezaji mediocre sana wakati watoto wenye vipaji, utashi na DNA ya Barcelona wana waignore na kuwa demoralize huku wakiua potential, ability and talents za hawa madogo chipukizi.

Messi aliaminiwa sana na Rjikard licha ya umbo lake dogo na utoto wake na hakumuangusha na utoto wake ule ule bado aliwatia hat trick Real Madrid.

Sasa huyu Valverde yeye anamdharau sana dogo mmoja midfielder Fundi, mjanja mjanja, ana skills, touch, instinct na control ya world class ambayo Arthur hawezi kuipata, dogo huyu anaitwa Liqui Puiq ana miaka chini ya 18. Kwa kigezo kidogo kisicho na maana kwamba dogo ana mwili mdogo sana hivyo sio suitable kwake kucheza pale dimbani na kuminyana na midfielder majambazi wa box to box sababu bado hana physical strength.

Mungu anajua kuumbua sana wanafiki, mwezi wa 8 mwaka huu Barcelona walikutana na Ac Milan ya gattuso yenye midfielder wehu, majambazi wenye sumu na hasira muda wote bila sababu na dogo aliingia kipindi cha pili, alichozifanyia zile midfielder Gattuso mwenyewe baada ya mpira kuisha alipohojiwa hakuzungumzia lolote lile zaidi ya kutoficha mshangao wake kwa surprise ya dogo kuzichezesha kindumbwe ndumbwe midfielder zake muda wote wa mchezo na kubadilisha kabisa mchezo mzima bila Messi aliekuwa mapumziko baada ya world cup, Gattuso alisema dogo na umbo lake hilo dogo lakini anavyoufanya mpira miguuni mwake its pure work of art..its like poetry. Na sio siri siku hiyo alichakaza midfielder zote za Gattuso kwa pasi accuracy na skills za La Masia kabisa.

Nikadhani kwa yale madivataizi ya dogo labda atapewa priority ya kuanza first eleven ligi ikianza.. Lakini Hola! Ajabu anaanza Arthur anarusha mapumbu tu hana la maana analofanya uwanjani ukilinganisha na timu kubwa kama Barcelona yenye intensity na demand kubwa ya kumtaka player aadapt mapema zaidi mfumo wake na kujiadjust awe best.. For simple reason of playing along with the best. Arthur yeye anaadapt very slow na uwezo wake sio extraordinary kwa demand ya Barcelona labda Man U anaweza kufaa ila sio Barcelona.

Sasa unajiuliza kwanini Valverde asimpe nafasi mtoto Puig muda huu? Ambae amekubalika na midfielder katili kama Gattuso? Maana tatizo la Barcelona muda huu ni kukosa World class midfielder itakayomfanya Messi asiwe na task mbili kama sasa kufunga na kutoa pass za mwisho kama kiungo, apatikane kiungo anaejua kupiga killer pass na kufyonza mashambulizi ya wapinzani kwa kuboss midfield zone kama mtoto Puig ili king abaki na Kazi yake moja tu kuweka ngozi kambani na sisi mashabiki tumle muuza vodka wa 1xbet easily.

Kama kuna mchezaji Valvede anapaswa kumuamini sasa basi ni Riqui Puig.

Picha chini mtoto Puig akizichakaza midfielders za Gattuso ndani ya dakika 45 tu alizopewa.

Shukrani.

Nakala; aione Valverde
Maria batromeo
Lionel Messi
Luiq Puig
images-1.jpg
puig-busca-una-jugada-pese-vigilancia-kessie-durante-barca-milan-1533484663730.jpg
images-12.jpg
unnamed.jpg
Screenshot_2018-10-02-04-43-01.jpg
Screenshot_2018-10-02-04-42-50.jpg
Screenshot_2018-10-02-04-43-31.jpg
 
Wanabodi mpo?
Hua nimetamani sana niseme kitu kuhusu Thiago Alcantara Manzinho nimegundua we created a monster na kosa kubwa alilolifanya ni kuondoka Barcelona akiwa bado mdogo -tunasema akiwa kwenye development stages za football
Kwenye dirisha la usajili zilitokea tetesi kua atarudishwa Barcelona kilichotokea watu wenye DNA ya Lamasia Cantera wakaleta ngumu kua alusaliti chama ,hivyo basi akirudishwa itaua morale ya wachezaji ambao watu wameshawahi kuwaletea contract waseme wanataka nini na shiling ili wahame Barcelona na wavunje record za dunia za kulipwa ,tena wakati team iko kwenye wakati mgumu (Refer Case ya utakatishaji fedha rais wa barcelona 2011)

Xavi alikua kinara wakusema hapaswi kurudishwa Barcelona kwa sababu wakati tunakua lamasia Cantera tunafundishwa duniani kuna team moja tu!!

What if kama wachezaji ambao wameipa umaarufu Barcelona kwa zaidi ya miaka 10 wangehama?(Messi,Pique,Busquets etc) in short hatakiwi

Shida yangu mimi muandishi binafsi ipo kwenye kiwango alichokua nacho sasa hivi kwenye team ya Taifa na Buyern Munich kiasi inakadiliwa ni moja ya midfielders bora zaidi duniani ,najisikia uchungu na wivu ama kweli we created our own monster
Pasipo kupapasa macho, yule jamaa mpira umemkubali.
 
Sioni cha ziada alicho nacho Thiago ambacho wachezai waliopo kwa sasa hawana. Mwakani anakija Puigi Riqui huyu mtamsahau
Huoni cha ziada? Haina haja ya mabishano, Anyway ngoja tumsubiri huyo unayemsemea.
 
Huoni cha ziada? Haina haja ya mabishano, Anyway ngoja tumsubiri huyo unayemsemea.
Mkuu kama huyu dogo nae msema akaruhusiwa kucheza kikosi cha kwanza utamuelewa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom