eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hivi mnaweza kujisifu kwa kumpiga huesca bao 8 kweli
E&K
E&K
Yani hata wewe mwana chelsea unashangaa sisi kujisifu?Hivi mnaweza kujisifu kwa kumpiga huesca bao 8 kweli
E&K
Msimu huu mna bahati tu sipo UEFA ningekunyoosha na hii sarriballYani hata wewe mwana chelsea unashangaa sisi kujisifu?
Kwani umesahau tulichokufanya last season ya UCL?
Acha masikhara mkuu!
- KANA -
Kwanini haupo UEFA?Msimu huu mna bahati tu sipo UEFA ningekunyoosha na hii sarriball
E&K
Kwanini haupo UEFA?
- KANA -
The Best FIFA Football Awards
- FIFA.com
Numbisa tunaweza pata hii gif?Goli la Mo Salah dhidi ya Everton lipo kati ya magoli yanayowania tuzo ya FiFA ya Puskas pia Salah anawania tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume wa FIFA 2018.
Mashabiki wote wa Liverpool na wapenda mpira wa ukweli fuata link hii kisha chagua Mo Salah. Anaejua mpira anastahili![]()
![]()
The Best FIFA Football Awards
- FIFA.comView attachment 855901
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani napenda team mbili tu
Chelsea na Simba Sc baasi
Huku kwingine napita kuwasabahi tu mkuu
E&K
Nilikuwa sijafatilia haya mambo kutokana na majukumu, Ronaldo kachukia mwenzake kuchukua tuzo? Na hajahudhuria kabisa hizo tuzo?Yeah! Ronado ana-struggle sana. Tuseme tu ukweli kwamba "mfumo mpya + umri alionao sasa" ndivyo vinamgarimu hivi sasa. I bet kwamba hata akirudi kwenye form sidhani kama atakuwa kwenye peak ya juu kama jinsi ambavyo alipokuwa Madrid.
Namshangaa sana kulaumu ushindi wa " Luka Modric"/kuwa Mchezaji bora wa Uefa (Uefa Men's player of the year, 2017/18). Anavyo struggle sasa, ndiyo atambue kwamba mabao aliyokuwa akifunga kwa kuvizia vizia yalitokana na wachezaji wengine akiwemo Modric. Hivyo, alitakiwa tu kuhudhuria (alisusia) na kufurahia ushindi wa mchezaji mwenzie wa zamani.
Nasikia kocha wa Juve jana kabla ya mchezo wao na Parma alisema. "Ronaldo anahasira na kwamba kachukua sana zawadi ya mchezaji bora wa Uefa kupewa mchazaji mwingine, hivyo naimani atafanya vizuri zaidi kuonyesha uwezo wake hapa" mwisho wa kunukuu.
Ngoja tuone!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari saaaana huyu binadamu.
NiHatari saaaana huyu binadamu.
wa kuotea mbali huo. Zinahitajika mita 1000 ili uweze kuuota
wake.
. Messi utavunja watoto wa watu viuno. Hivi huyu beki akumuuliza Boateg
Hahahah, amem-boateng!!!!Messi utavunja watoto wa watu viuno. Hivi huyu beki akumuuliza Boateg