FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Hawaijui baca ila wanaisikia watuache na baca yetu
Yeah, we are Barca!!!!!
IMG_20180911_181003_238.jpg
 
Wanabodi mpo?
Hua nimetamani sana niseme kitu kuhusu Thiago Alcantara Manzinho nimegundua we created a monster na kosa kubwa alilolifanya ni kuondoka Barcelona akiwa bado mdogo -tunasema akiwa kwenye development stages za football
Kwenye dirisha la usajili zilitokea tetesi kua atarudishwa Barcelona kilichotokea watu wenye DNA ya Lamasia Cantera wakaleta ngumu kua alusaliti chama ,hivyo basi akirudishwa itaua morale ya wachezaji ambao watu wameshawahi kuwaletea contract waseme wanataka nini na shiling ili wahame Barcelona na wavunje record za dunia za kulipwa ,tena wakati team iko kwenye wakati mgumu (Refer Case ya utakatishaji fedha rais wa barcelona 2011)

Xavi alikua kinara wakusema hapaswi kurudishwa Barcelona kwa sababu wakati tunakua lamasia Cantera tunafundishwa duniani kuna team moja tu!!

What if kama wachezaji ambao wameipa umaarufu Barcelona kwa zaidi ya miaka 10 wangehama?(Messi,Pique,Busquets etc) in short hatakiwi

Shida yangu mimi muandishi binafsi ipo kwenye kiwango alichokua nacho sasa hivi kwenye team ya Taifa na Buyern Munich kiasi inakadiliwa ni moja ya midfielders bora zaidi duniani ,najisikia uchungu na wivu ama kweli we created our own monster
 
Wanabodi mpo?
Hua nimetamani sana niseme kitu kuhusu Thiago Alcantara Manzinho nimegundua we craeted a monster na kosa kubwa alilolifanya ni kuondoka Barcelona akiwa bado mdogo -tunasema akiwa kwenye development stages za football
Kwenye dirisha la usajili zilitokea tetesi kua atarudishwa Barcelona kilichotokea watu wenye DNA ya Lamasia Cantera wakaleta ngumu kua alusaliti chama ,hivyo basi akirudishwa itaua morale ya wachezaji ambao watu wameshawahi kuwaletea contract waseme wanataka nini na shiling ili wahame Barcelona na wavunje record za dunia za kulipwa ,tena wakati team iko kwenye wakati mgumu (Refer Case ya utakatishaji fedha rais wa barcelona 2011)
Xavi alikua kinara wakusema hapaswi kurudishwa Barcelona kwa sababu wakati tunakua lamasia Cantera tunafundishwa duniani kuna team moja tu!!
What if kama wachezaji ambao wameipa umaarufu Barcelona kwa zaidi ya miaka 10 wangehama?(Messi,Pique,Busquets etc) in short hatakiwi

Shida yangu mimi muandishi binafsi ipo kwenye kiwango alichokua nacho sasa hivi kwenye team ya Taifa na Buyern Munichen kiasi inakadiliwa ni moja ya midfielders bora zaidi duniani ,najisikia uchungu na wivu ama kweli we created our own monster
Sioni cha ziada alicho nacho Thiago ambacho wachezai waliopo kwa sasa hawana. Mwakani anakija Puigi Riqui huyu mtamsahau
 
La masiya imekufa nini maana ni kununua tu sasa kila dirisha la usajili
Lamasia haizalishi siku hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom