naeza kukurushia wasapMkuu Nimependa avatar
yako sijui ntaipataje
Tukutane SAA 22:00 hrsUjio wangu sio wa bure hakika mimi nawaambia... yamkini mtakuja kuamini mara baada ya watoto kuchezea koki nyumbani kwao london
This is Barca,kwa ufupi matokeo ya match tatu zilizopita yasiwatishe , sio technical reason ,ilikua ni machaguo mabaya tu ya kocha na velverde analijua hilo sana tu
Our top top priority and secret is UEFA this year
namaliza hivi ,Totenham watapigwa goli tatu bila ndimbani kwao Totenham 0 barcelona 3
We are busy for something barca Forca visca el barca Mes que un club
Yeah muda wa kuelekeza kibra watoto wa TotenhamTukutane SAA 22:00 hrs
Hahaaaa tuombe iwe hvyo maana barca ya sasa pressure
Haiwezekani mkuu, barca inashida lk sio kwa kiasi hichoI doubt kama Tottenham can beat Barca,todays game I believe will kickstart our season
Mh! Sawa.Barca IX Vs Spurs 03/10/2018View attachment 885884
Rakitiiiic. Sidhani kama hawa madogo wana nguvu ya kutosha kufanya wanacho fanya hata kwa dk 60. Hili goli la pili ndiyo litawavuruga kabisa. Barca 2-spurs 0spurs wanajaribu kuharibu rhythm ya Barca-well they will need lots of stamina
Wanatumia nguvu kama nyati yanHawa madogo wanakaba balaa. Hawatupo nafasi. Inabidi tuongeze moto.