hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 540
Sema leo tumecheza vizuri uongo mbayaHii Barca-heart attack itatuhusu
Sema leo tumecheza vizuri uongo mbayaHii Barca-heart attack itatuhusu
Lkn pale mbele creativity imepungua sana, hakuna movement za hatari kama zamani.Usihofu mkuu leo RM wanapigwa tena. Atleast leo nimeona timu inayoweza compete UCL.
Anakaaa sana na mpiraTatizo liko mbele,we are not getting goals,how do we expect the defence to hold out-suarez is fine but Dembele needs to up the stakes-he needs to spearhead the attack
Dembele kwa speed yake alitakiwa awe ndio silaha kubwa ya counter attack-tatizo anakimbilia kati kwenye lot of bodies.Anakaaa sana na mpira
leo ilikuwa chini sana. tulikuwa tunacheza 65. ila Bilbao ni wagumu.Pass accuracy naona kama imepungua sana kwa team yetu
Sio kwa kiasi hicho mkuuleo ilikuwa chini sana. tulikuwa tunacheza 65. ila Bilbao ni wagumu.
Hatari sana, tutaishia na kujifariji na draw ya real Madridisingekuwa messi leo tena barca angekaa! huyu kocha fala sana
La liga ni michuano bora duniani, kwahiyo ni migumuHivi ni LALIGA imekuwa ngumu au ni kiwango cha vigogo kimeshuka
Sio vigogo mmeshuka kiwango msimu huuLa liga ni michuano bora duniani, kwahiyo ni migumu
Hapana mkuuSio vigogo mmeshuka kiwango msimu huu