FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Pre caution
Huwa si argue na watu wenye maneno ya taarab kama mshamba, mjinga unajiona mjanja sjui etc kwa hiyo kama na wewe huwez ku argue na mimi kaa kushoto. Ni hayo.

Mechi nyingi ambazo Messi kawafunga Madrid walikuwa ni wabovuu(sija sema zootee). Nakumbuka kasoro mechi ya mwaka jana ya 3-2 ambayo Madrid walikuwa pungufu.ila walikuwa wako poa kuliko barca.
Nakukumbusha maneno ya pique baada ya kufungwa na madrid mechi mbili za august 2017 supercup, alisema kwa mara ya kwanza kwenye maisha yake ndio aliona Madrid imekuwa timu bora kwa ka kitu dhidi ya Barca. Sasa kama Pique mwenyewe anaadmit wewe ni nani mpaka ukatae?

Mi sja sema kuwa Messi hajaweza kumfunga buffon, ila nasema amaweza kumfunga Buffon akiwa amechoka, angalia statitstcs si mimi. Messi hakuqeza kumfunga Buffoni alo kuwa kwenye kiwango chake
Na Messi hakuweza kuifunga Chelsea iliyo kuwa kwenye kiwango chake. Hiyo ni fact mi sidanganyi.
Sasa sja jua unabisha nini.
naunga mkono hoja, ila umeharibu pale chini,, kwamba mess hajawai kuwafunga chelsea ktk ubora wao,
 
This is unfair knock out mwaka jana walipotutoa Juventus niliridhika sana na matokeo but not this
Velverde huyu anafikiria low sana yeye kama Mourinho anakaba tu...ndo maana hata team ndogo tunapata ushindi kwa tabu sana
This is not a good trend

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app



huyu kocha atuachie timu yetu kupaki basi sio mfumo wetu ni mpuuzi na ndio anamfanya suarez kujiona kama mwenye timu maana hakabi kutoa pass tu kwake shida
 
ila kiukweli toka aje Valverde mechi za Barca hata kuangalia hazivutii. Tunapiga mi 442 , Suarez anakuwa kama hayupo vile
This is unfair knock out mwaka jana walipotutoa Juventus niliridhika sana na matokeo but not this
Velverde huyu anafikiria low sana yeye kama Mourinho anakaba tu...ndo maana hata team ndogo tunapata ushindi kwa tabu sana
This is not a good trend

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Mechi yoyote ya Away linapanga 442 na kujilinda. Au utakuta half moja linapanga kikosi hiki na nyingine kikosi kingine au formation nyingine na kuharibu mpira. Halafu huwa linasimama kwa majivuno kweli. Hope watalizomea camp nou na mpira wake wa hovyo.
 
Nahisi ili furaha yangu irudi inabidi tuchukue La liga bila kufungwa, Tubebe CDr, Tuachane na 442 na RM wasibebe UCL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom