FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Ule waraka wa KKKT nazani waliandikiwa wakina Roma huko...

Nazani waliusoma vizuri na kuulewa kisha wakatenda...
 
Kaka zidane ndio alikuwa anawanyanyasa Brazil katikati ya uwanja na kuwafanya akina kaka,juninho,ze Roberto,ronaldinho na Gilberto Silva kuonekana wa kawaida.
Hivyo casemiro,Toni,modric na isco kuwashika kiukweli inabidi uwe na kiungo mwenye kipaji haswa
Huyo countinho ni wa kawaida sana

Coutinho wa kawaida?
 
Mliodhani tuta toka
IMG_20180410_234523.jpg
 
Pole sweet wangu kwa Maswahibu ya Jana nilidhani this season ungeondoka na vikombe vitatu duhhh nilijua mwaka wenu huuu ndo hivyo tena,karibu uraiani sweet.....
Sista mbona unaongea utafikiri hauhusiki? ndiyo maana siku zote huwa natilia mashaka loyalty yako.
 
Sista mbona unaongea utafikiri hauhusiki? ndiyo maana siku zote huwa natilia mashaka loyalty yako.
Hahahaha!!!Yananihusu sana brother ila leo nimekuja km raia tu maana Wengine humu ndani hasa PNC ananiponda sana kwamba siwezi kuwa shabiki wa MANU na Barca,Ndo maana sijataka shari nimetoa pole km raia huku nikiumia km mzalendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom