Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,725
- 3,516
Ule waraka wa KKKT nazani waliandikiwa wakina Roma huko...
Nazani waliusoma vizuri na kuulewa kisha wakatenda...
Nazani waliusoma vizuri na kuulewa kisha wakatenda...
Kaka zidane ndio alikuwa anawanyanyasa Brazil katikati ya uwanja na kuwafanya akina kaka,juninho,ze Roberto,ronaldinho na Gilberto Silva kuonekana wa kawaida.
Hivyo casemiro,Toni,modric na isco kuwashika kiukweli inabidi uwe na kiungo mwenye kipaji haswa
Huyo countinho ni wa kawaida sana
Hivi countinho unamfananisha na iniesta,iniesta ni level za akina zidane,pirlo scholesCoutinho wa kawaida?
Kafanya nn,.Penaldo
Kafanya nn,.
Pole sweet wangu kwa Maswahibu ya Jana nilidhani this season ungeondoka na vikombe vitatu duhhh nilijua mwaka wenu huuu ndo hivyo tena,karibu uraiani sweet.....Nipo tu mpenzi,, nashkuru kunimiss...umepotea sana aise,, PNC nae amekuwa adimu mno...siku hizi anachungulia anakupa like anaondoka 😀
Sista mbona unaongea utafikiri hauhusiki? ndiyo maana siku zote huwa natilia mashaka loyalty yako.Pole sweet wangu kwa Maswahibu ya Jana nilidhani this season ungeondoka na vikombe vitatu duhhh nilijua mwaka wenu huuu ndo hivyo tena,karibu uraiani sweet.....
Hahahaha!!!Yananihusu sana brother ila leo nimekuja km raia tu maana Wengine humu ndani hasa PNC ananiponda sana kwamba siwezi kuwa shabiki wa MANU na Barca,Ndo maana sijataka shari nimetoa pole km raia huku nikiumia km mzalendo.Sista mbona unaongea utafikiri hauhusiki? ndiyo maana siku zote huwa natilia mashaka loyalty yako.
Mliodhani tuta toka
View attachment 741817
Pole sweet wangu kwa Maswahibu ya Jana nilidhani this season ungeondoka na vikombe vitatu duhhh nilijua mwaka wenu huuu ndo hivyo tena,karibu uraiani sweet.....