FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kati ya misimu ambayo sikutegemea kuwa tutabeba UEFA basi msimu huu.

Next season tutakuwa na benchi zuri sana endapo Griezmann atakuja Barca pamoja na wachezaji wengine.

Kuna haja sana ya kutafuta winger ya kushoto.
Mkuu Tatzo ni mildifield. Hil ndio tatzo kubwa sana Barcelona..viungo tulio nao wote ni wazee..I mean tunatakiwa kufanya overhaul ya viungo..tatzo hil uongoz hata haushituk.. Pia kocha wetu ni tatzo lingne..huwez kuongoza goal 4-1 ukaja kufa 3-0.. Aibu kubwa sana kwa barca..
 
KIng Messi, king wa wap

IMG_20180410_234523.jpg
 
Velverde mentality ya team ndogo bado haijamtoka kabisa kichwani inatakiwa aambiwe Barca ni team kubwa ina muscles financially na kimpira we opt for better plans za ushindi sio ku defend tu
This is shame
lawama za nini ukizidiwa lazima urudi nyuma iniesta,alba wakizidiwa wengine ni kurukaruka tu hawana jipya, mtachukua double jamani vumilieni tu
 
Nyuma walikuwa wazi kati walilegea mbele ndio hamna kitu kabisaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom