Inauma mkuu, inauma mnooKweli baselona mmeshindwa kufunga hata goli moja dakika zote tisini??
Yaani hata ule ujanja ujanja wenu wa kuijangusha mpate penati Leo mliusahau??
Yaani timu kubwa hivyo inaongoza 4-1 halafu inashindwa kupata goli moja tu ugenini??
Nakwambieni huu uchungu wa Leo utawauma kwa kipindi kirefu sana.
Angalau hata mngetolewa kwa goli la ugenini, lakini kwa hii fedhea mtadhiakiwa sana kwanzia Leo.

Nimeamini kuwa tuna maadui wengi sana sisi barca, hakuna noma kuna watu sijawahi waona ila wamekuja kwaajili ya downfall yetu na king of kings,, alien being "messi"
VISCA BARCA
Bro!! PSG na barca ni timu mbili zenye uzito tofauti.Muosha huoshwa. Nyie msimu uliopita PSG waliwachapa 4 bila kwao kisha mkawatoa kwa magoli 6 kwenu.
We we unataka Messi atoke anapojifichia kwa Alba na Iniesta aka aibikeNi mda wa messi kuangalia option nyingine sasa
King Messi ndani. Iniesta ndani, bila kumsahau mnyakyusa Samuel Mwamtiti ndani *****. Ngoma chali 3-0
mwamtiti inaelekea alizamia France huyuPole sana!! Na sipati picha mahasimu wenu wakipangwa na Roma nusu fainali wakampiga nje ndani halafu wakafika fainali na kulichukua tena, itakuwa ni matusi makubwa sana.Inauma mkuu, inauma mnoo![]()
![]()
![]()
Dume limeupiga kwa hasira shwaini mkubwa huyu fukiafukia fundi Iniesta and his cohort
Majirani mpoo?![]()
Ameisaidia nini Manchester uyo ****?Barcelona should react as quick as possible and sign Jesse Lingard to bring back those glory days. Hes better than messi
mtatukana sana mwaka huu..shhhhhh....this is football magicAmeisaidia nini Manchester uyo ****?
HahahahaYeroooo
Goal 3 AC Roma leo wata kaaa sitaki kutoa sana siri but leo ni "MESSI day" ata shine sana
Wewe ni nyooko asee! Sio kwa utabiri huuUtashangaa leo AS Roma anaibuka kidedea na ushindi wa goli tano bila hoo. Wataliano leo lazima wachane mikeka ya watu.