klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,147
Hoja hii imesimamiwa vizuri na DC pia.
Basi tukubali kuwa Mtanzania si romantic by nature ......lol ...kwa sababu wanaotetea bado hawajatu convince kuwa wanavyofanya ni romantic.
Inawezekana ikawa tatizo ni kuwa tuna define romance kwa mentality ya Magharibi ndo maana.
Now u r talking mwalim, hii post yako imekuwa ni romantic tosha kuteka moyo wa klorokwini wajameni.
The Boss tuongeze maombi lol