Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,303
nimecheka peke yangu aisee lol
Huyu Klorokwini kuna siku atafukuzisha mtu kazi ..............wallah tena. lol
nimecheka peke yangu aisee lol
Huyu Klorokwini kuna siku atafukuzisha mtu kazi ..............wallah tena. lol
that is the word.....customized just for me.....aaaaaw geee umenigusa aisee!!!
Mh hapa naona itakua wajibu sasa..! Ngoja nifikiria kwanza! haya Mahaba haya mbona yatuchosha?lol
Mkeku, kwa hiyo kua creative ndo "mahaba" yenyewe sio?Meku, ndo pakuwa creative sasa hapo. we kila siku tu utaleta mapera? si utasababisha mwenzio apate tabu ya tumbo? kw anini usitafute manjonjo mengine tofauti tofauti vile....
siku ingine mcheze pamoja (eeh hata wakubwa wanaruhusiwa kucheza), mnakimbizana hadi kijasho kiwatoke kisha muoge maji ya hiliki (yu wapi MJ1 atoe resipi anazomwekea soulmate wake hapa...lol)
bosi, binadamu tunatofautiana sana tu, kwa hiyo hilo la kuwa nyuma kimahaba wala lisikutoe roho. Kila kitasa na ufunguo wake kaka!
Mwalimu taratibu taratibu ntaelewa kutofautisha hivi vitu ngoja nieendelee kuwasoma!Kuna vitu vingi mbona Kimey ......usiniangushe
Wewe ukisikia nyimbo huko nje ikakukumbushia laazizi, unamtumia ujumbe kumwambia .....thats romantic
Mkeku, kwa hiyo kua creative ndo "mahaba" yenyewe sio?
na vitasa vingine shurti kwa nyundo...ndo unafungua lol
Na hiyo creativeness si lazima mwenzio apende sio? ishu inakuja hapo unapeleka pera kumbe yeye anapenda komamanga, kweli kaazi ni kwetu!Hewalaaaa.......
Mkeku, kwa hiyo kua creative ndo "mahaba" yenyewe sio?
na vitasa vingine shurti kwa nyundo...ndo unafungua lol
Hahaha Boss hapo umenichekesha .......vitasa hivyo lazima uvifungue kwani!
Na hiyo creativeness si lazima mwenzio apende sio? ishu inakuja hapo unapeleka pera kumbe yeye anapenda komamanga, kweli kaazi ni kwetu!
Halafu Mwalimu hii mahaba ni one way traffic?
hapa kloro anaweza saidia kutengeneza the best romantic picture itakavyokuwa lol
nakupa mfano......
Wewe bee ndo wife wangu....umekaa kibarazani unapiga story na wenzio...
Mimi nakuja kwa mbaali...kulia nimeshika kuku na kushoto kuku...wanalia lia...
Unaniona.....unawaambia watoto...kampokeeni baba enu nyi watoto...lol
watoto wanakuja huku wanaimba 'baaba kaleta kuukuu...'majirani wanakuonea wivu.....
Hiyo sio romantic?????? Kumbe je????????lol
siku nyingine usinitolee mfano......
daaah Bosi kwa hiyo kuwa romantic kunategemeana na mtu na mazingira pia. mimi ukileta hivyo naona ni sehemu tu ya wajibu wako kama baba wa familia. lakini kuna vijimambo tu vidogo bana ukifanyiwa unajihisi uko ahera wallah tena...
kwa mfano akicheza na jina langu na kuja na jina lingine (yaani hakuna mtu mwingine alishawahi niita hila jina...its so unique) kwa kweli najiskia raha sana, au akinisifia sifia hivi kama nimefanya kitu vizuri au nimeonyesha maendeleo kwenye mambo fulani fulani, that is soo romantic to me!!!!
(does anyone need money to be romantic in such a case?)
....wakati nikikutayarishia jibu, nami naomba nikuulize swali la kizushi ewe mkuu mstaafu....baada ya kupata hiyo kitu roho inataka, aka 'great' sex....romance/mahaba yanaishia hapo?
Loh Mzee DC swali langu mie umelifukia wataka lako nilianike sawa hiyo kweli?
Wewe mwenyewe ushasema kuwa wanaolalamika hivyo kuwa 'hamyajui/hamko romantic ni wake zenu majumbani' ilhali wale mnaokutana nao mara 2 kwa mwaka wanawasifia na kuwaganda. Sasa si ina maana mnajijua na sababu mwaijua??
Mie nlishasema moja, ukasema utajitetea kisha ukakimbia
Na hiyo creativeness si lazima mwenzio apende sio? ishu inakuja hapo unapeleka pera kumbe yeye anapenda komamanga, kweli kaazi ni kwetu!
Halafu Mwalimu hii mahaba ni one way traffic?
hehehe hivi vitasa na ufunguo hivi, sasa hivi vitazaa definition mpya ya romance
Kuna mavitasa yanakuwa laini ukiyanunua dukani, kayaweke mlangoni halaf yape mwezi tu utaona yameng'ang'anaa hata hiyo nyundo ukigonga inadunda, ukijifanya kuyapaka girisi sana sana utachafua nguo zako tu. (hapa nimezungumzia romance kifasihi, sjatoka nje ya mada wajameni)halafu klorokwini baada ya kuandika nikafikiria hivo aisee...lol
usikute sasa na vitasa vingine bana kuna yale mafunguo mengine yenyewe hayana specifications yanafungua tu....hahahaaaaa!
sipo
According to klorokwin: Kuwa romantic ni kujenga mazingira ya mapenzi ambayo yatamfanya mwenza wako kila wakati ajiskie raha na furaha kuwa karibu yako. Hii inajumuisha majukumu, uchokozi, utundu, Uhashuo (source:gaijin), SRM nakadhalika nakadhalika.
Romantic gauge: Ukitaka kujijua how romantic u are kwa mwenza wako jaribu kumuaga unaenda safari, huzuni yake ukiondoka na mawasiliano yake wakati upo safarini yatakujulisha ni kiasi gani umefanikiwa kuwa romantic kwake.
Ukiona umemuaga waifu, halaf waifu linafurahia na ukiondoka tu limezima simu na ukirejea safari waifu limenenepa ujue romantic gauge yako iko zero au minus. (Dedicationa yako ni wimbo wa "samaki pole")
Nimemaliza
Yamekukuta nini kwa uporoto?duh, kama kweli vile!