Eti hatujui... kipimo gani kinatumika?

Eti hatujui... kipimo gani kinatumika?

Unajua shemeji kuna pointi mnaimiss!
ukiangalia post ya The Boss, haikubase zaidi kwenye gunia la mkaa wala kuku, imebase zaidi kwenye mazingira ya namna kuku alivyoletwa na alivyopokelewa. Kamsome tena boss halaf refer kwenye definition yangu ya romance nilivyoieleza kabla.

Hebu twambie katika kutimiza wajibu wake (ondoa mahaba) hao kuku angewaletaje?
Yeye kasema kawabeba huku na huku wanalia lia (ndio mahaba hayo?) halafu tena wanapokelewa na watoto waliotumwa na mama yao! Ndio mahaba hayo? au kwa vile majirani wako karibu?

Ningeelewa kama angesema katoka kazini kamkuta mkewe kakaa anachambua mboga basi naye akae ampe kampani naye achambue. Au mkewe anatwanga kisamvu kwenye kinu juani yeye amletee maji ya kunywa ampoze kiu!
 
Unajua shemeji kuna pointi mnaimiss!
ukiangalia post ya The Boss, haikubase zaidi kwenye gunia la mkaa wala kuku, imebase zaidi kwenye mazingira ya namna kuku alivyoletwa na alivyopokelewa. Kamsome tena boss halaf refer kwenye definition yangu ya romance nilivyoieleza kabla.

Boss yeye nafikiri ka emphasize kwenye 'watu wengine' wawepo, waone choyo namna unavyojaliwa.

That's more like pride.... U might feel proud of your man for doing that, but that aren't no romance
 
.

kwangu mimi kipimo ni katika muda huo naweza vipi kutekwa/kumteka/kutekana akili kiasi kwamba hata tutapokuwa mbali mbali, moyoni tutakuwa na uchu na kiu masaa au siku ziende haraka tupate kuwa pamoja tena....

...ndio maana nilimhoji awali klorokwini, romantic/'mahaba' ni hisia?

Mkuu moskwito hapo we r sailing in the same boat.
suala la kizushi:
Je mambo yafuatayo hayahusiki kwenye kumteka mtu?
-wajibu?
-hisia?
-sex?
 
The Boss

Kwa kijijini labda ukirudi home mama watoto ukisikia yupo kisimani, kwenda kumfata huko, na kumpokea ndoo ya maji ukabeba wewe

....kwa mara nyingine tena, tupo ukurasa mmoja!....safi sana,.....hata kumletea mke zawadi (bila kutegemea/kukusudia sex in return!) iwe ni peremende au kitenge ndiyo mahaba yenyewe hayo....

Ikuda ya kuwa romantic kwa baba au watoto bado sijapata kuisikia.

Hebu toa maelezo ya kina

...itafsiri romantic kwa kiswahili----mahaba!----mapenzi!-----, utagundua inawezekana sana tu...
tatizo nilionalo hapa, wengi wetu tukisoma romance tayari mawazo yanahamia ndani ya shuka, mmefunga mapazia, taa mmezima, na nyie wawili mnanong'ona....----
 
kichwa chako bado kabisa kina chemka mwayego!!!
khaa, unakuwaje romantic kwa kutimiza wajibu wako kama mke/mume? (ndo maana wanaambiwa hawako romantic maana kumbe hata hawajui unakuwaje romantic....lol!!!)

umeona eh... ndi maana nikamwambia DC kuwa hao wanaowasifia na kuwang'ang'ania nje wanafanya hivyo kwa kuwa huwa wanafanya extras!! Akifika kwa bi mdogo DC atatoa tabasamu la nguvu; atatoa hug la mpaka anazunguka naye kama si kumbeba juu juu kuonyesha alivyofurahi; atambusu na wengine atamshikia mpaka nyama wakati wa kupika jikoni huku wakipiga vistory vya hapa na pale wakati akija nyumbani kwake anafikia kukumbati a remote na kugandisha macho kwenye TV akisubiri Mkewe amalize kupika ale akaoge. Hakuna cha kukumbatia, kukiss wala kusaidia nyama jikoni na story.

Hizo extraz hizo, hivyo vya ziada hivyo ndo mahaba yenyewe!.
 
Hebu twambie katika kutimiza wajibu wake (ondoa mahaba) hao kuku angewaletaje?
Yeye kasema kawabeba huku na huku wanalia lia (ndio mahaba hayo?) halafu tena wanapokelewa na watoto waliotumwa na mama yao! Ndio mahaba hayo? au kwa vile majirani wako karibu?

Ningeelewa kama angesema katoka kazini kamkuta mkewe kakaa anachambua mboga basi naye akae ampe kampani naye achambue. Au mkewe anatwanga kisamvu kwenye kinu juani yeye amletee maji ya kunywa ampoze kiu!

Boss yeye nafikiri ka emphasize kwenye 'watu wengine' wawepo, waone choyo namna unavyojaliwa.

That's more like pride.... U might feel proud of your man for doing that, but that aren't no romance

Naona haya masuala aje kuyajibu The Boss mwenyewe tu maana dah! kinamama mnashambulia kuliko Barcelona.
 





...itafsiri romantic kwa kiswahili----mahaba!----mapenzi!-----, utagundua inawezekana sana tu...
tatizo nilionalo hapa, wengi wetu tukisoma romance tayari mawazo yanahamia ndani ya shuka, mmefunga mapazia, taa mmezima, na nyie wawili mnanong'ona....----

Mbu mtu akisema Romance sisi tunatumia kama linavyotumiwa na hao wenye neno lao.

Anaetaka Romance imaanishe mahaba, atumie neno mahaba ili tuje kwa maana yetu sisi watumiaji wa Kiswahili.
 
romantic/romance- mahaba, mahaba ni kitu gani? sio UPENDO? labda uliotimilika?, ninapomfanyia mwanangu kitu asichokitegemea it is not romantic?
 
romantic/romance- mahaba, mahaba ni kitu gani? sio UPENDO? labda uliotimilika?, ninapomfanyia mwanangu kitu asichokitegemea it is not romantic?

Its not romantic lakini ni mahaba ......:]

Maana usije ukenda Ulaya huko ukamwambia mzungu wewe na mwanao mnafanya romance all the time, anaweza kukuitia polisi au watu wa child welfare bureee
 
unajua shemeji kuna pointi mnaimiss!
Ukiangalia post ya the boss, haikubase zaidi kwenye gunia la mkaa wala kuku, imebase zaidi kwenye mazingira ya namna kuku alivyoletwa na alivyopokelewa. Kamsome tena boss halaf refer kwenye definition yangu ya romance nilivyoieleza kabla.

yaaani......kloro .....
Sijui hawaelewi nini hapo..lol
 
boss yeye nafikiri ka emphasize kwenye 'watu wengine' wawepo, waone choyo namna unavyojaliwa.

That's more like pride.... U might feel proud of your man for doing that, but that aren't no romance

tunaenda mbele halafu tunarudi nyuma....
Tumeshasema kuwa haya mahaba yanatofautiana,watu na watu..
Culture na culture..........sasa sijui mnakataa nini na mnakubali nini??

Hivi kumnunulia mkeo a diamond ring.....ni mahaba sio?kwa kila culture???????
 
na mahaba limetoka kwenye neno gani???

'Mahaba' limetoka kwenye neno la Kiarabu 'huba' inayomaanisha 'mapenzi'.

Kwenye tafrisi ya neno 'mahaba' kwenda Kiiingereza hakuna romance/romantic bali 'mahaba' limetafsiriwa kama to love, friendship na neno 'stahabu' lenye mzizi mmoja na hilo linamanisha to be pleased with, prefer, like, deserve

Hamna romance hapo tusichanganye mambo
 
mimi nina hakika tatizo ni hilo gunia la mkaa tu, mbona kwa wenzetu kuvika pete ya uchumba ni kama wajibu na still kile kitendo wanakiita ni the best romantic moment ever, tena hawa ndio wenye lugha yao.

umeona eh?
Yaani hawa wadada wanaelewa wazungu lakini sisi hawatuelewi....
Kama mahaba inamfanya mwenzio ajisikie special na tofauti......
Na kitendo cha kuja na kuku wanalia lia mtaa mzima ukiona kimewezesha hilo la kujiona special na tofauti...
Bado wanaita sio mahaba...funny ehh?
 
hehehe huyu Ikuda kwa spidi alokuja nayo mwisho atatwambia mikutano ya Igunga pia ni romance. Dah!

...hhhaaahhhaahhaa! unaanza sasa.... 🙂


kichwa chako bado kabisa kina chemka mwayego!!!
khaa, unakuwaje romantic kwa kutimiza wajibu wako kama mke/mume? (ndo maana wanaambiwa hawako romantic maana kumbe hata hawajui unakuwaje romantic....lol!!!)

....usicheke bana, wengi wanadhani kuhonga ndio u romanti wenyewe huo, huo mfano wa gunia la mkaa na kuku huku majirani wakikodoa mimacho ni mfano tosha.---pride!---


Mkuu moskwito hapo we r sailing in the same boat.
suala la kizushi:
Je mambo yafuatayo hayahusiki kwenye kumteka mtu?
-wajibu?
-hisia?
-sex?

....in general term yes, lakini ukiingia deep mpaka ukagundua nini lililomgusa mwandani wako
mpaka atamani tena muwe pamoja, ni zaidi ya wajibu, hisia, na sex... ----hapa kila mtu atakuja na tafsiri yake---
hata nikimuuliza soulmate ni kitu gani kilichonipa maksi zaidi muda wote tuliokuwa pamoja, jibu lake halitakuwa sawa na langu, ndio maana majuzi nilimwambia na nina nukuu kama anakumbuka;

i love you not for whom you are but who i am when am by your side

...mwisho wa kunukuu...
 
na mahaba limetoka kwenye neno gani???

romance=love, the feeling of being in love, a feeling of excitement and adventure especially connected to a paricular place or activity, an exciting, usually short, r'ship btn two people who are in love with each other (kwa mujibu wa kamusi ya oxford)

sasa hapo utaona nani ataangukia wapi....

mahaba mi sijui kama limetokana na neno romance.....na hata hilo nalo ningeomba nisaidiwe mtu awezaje kuonyesha mahaba kwa mzazi au mtu mwingine mbali na mpenzi (au mahaba=mapenzi=upendo?)
 
tunaenda mbele halafu tunarudi nyuma....
Tumeshasema kuwa haya mahaba yanatofautiana,watu na watu..
Culture na culture..........sasa sijui mnakataa nini na mnakubali nini??

Hivi kumnunulia mkeo a diamond ring.....ni mahaba sio?kwa kila culture???????

Mimi Boss tulishakubaliana kuwa kama si wajibu wako basi ni mahaba, kama ni wajibu inakuwa tabu kidogo kujua tofauti ya hivyo viwili.

Kama mkeo labda kwake ni luxury kupika kwa mkaa, basi nadhani gunia la mkaa linahusu sana tu. Pia kula kuku kama si wajibu wako, mmezowea kula dagaa, siku ukipeleka kuku inaweza kuwa ni something extra so ikakubalika.
 
umeona eh?
Yaani hawa wadada wanaelewa wazungu lakini sisi hawatuelewi....
Kama mahaba inamfanya mwenzio ajisikie special na tofauti......
Na kitendo cha kuja na kuku wanalia lia mtaa mzima ukiona kimewezesha hilo la kujiona special na tofauti...
Bado wanaita sio mahaba...funny ehh?

Halaf uskute kuku wenyewe mtu umeiba au umekopa ili at least gaijin wako aonje protein na yeye.
Dah! inauma aisee
 
Back
Top Bottom