harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,887
- 1,361
hiyo point ya tatu imesimama sana lizy for sure hamna kipimo universal na sijui kingekuwepo SI unit yake sijui ingeitwaje
mi naona kwamba wangeweka vigezo ambavyo vinaeleweka halafu tungeweza kujua tatizo