Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

Nani unaona anafaa kuwa Rais kati ya Wawili hawa?

  • Edward Lowassa

    Votes: 103 13.0%
  • Dr. Willibrod Slaa

    Votes: 640 80.6%
  • Wote hawafai/sijaamua

    Votes: 51 6.4%

  • Total voters
    794
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
El hana uwezo wa kujieleza kwani ninauhakika hata mimi haniweze kwa kujieleza popote pale iwe jukwaani na hata kama itakuwa vikao vya kawaida!
 
Mkuu,unataka kusema atakayeweza kusimama kwenye mdahalo na Dr. Slaa ndio atakuwa kiongozi bora na atakayewaletea watanzania matumaini ya kupata maendeleo wanayoyataka.
Uwezo wa kujieleza katika midahalo ni kipaji na sanaa kama vipaji na sanaa nyingine lakini kamwe haiwezi kuwa kigezo au sifa ya kiongozi bora,mwenye nia ya dhati ya kufanya mabadiliko.

Hivi wewe unajua impact ya midahalo katika kusaka uongozi?

Kushindwa kumudu midahalo ni kushindwa uchaguzi na ndio maana JK na CCM yake walikwepa kushiriki midahalo enzi zile.
 
Zaidi ya uzushi na data za kupikwa, Slaa ana hoja gani? Atadebate nini zaidi ya kulalamika?

Uwezo wa Slaa kujenga hoja ni mdogo sana, Hapo CHADEMA aliyekuwa tishio kwa ujengaji wa hoja ni Zitto tu!

Tumia Ubongo kufikiria na si Makalio Zzt yule anahoja za usakatonge tuu
 
Lowasa anagombea urais . Slaa haijulikani anagombea nini. Sasa huo mdahalo unahusu nini?
 
Mkuu, huyu bora Leo asingeongea kabisa kajiharibia sana, hawezi kujieleza kaharibu kila kitu! ccm wakimpitisha huyu, ukawa njia nyeupe magogoni.
 
Zaidi ya uzushi na data za kupikwa, Slaa ana hoja gani? Atadebate nini zaidi ya kulalamika?

Uwezo wa Slaa kujenga hoja ni mdogo sana, Hapo CHADEMA aliyekuwa tishio kwa ujengaji wa hoja ni Zitto tu!

Kichwa kimoja cha Dr wa ukweli uDr aliosomea darasani ni sawa na vichwa 200vya ccm.
 
Hivi kweli Lowassa anaweza kushiriki mdahalo wa uraisi na mtu kama Dr.Slaa na akamudu kujibu hoja na changamoto zote zitakazojitokeza katika mdahalo huo?

I don't think so!

Mkuu ujue unachofanya ni kutaka kumpambanisha Tyson na Matumla.... Cha muhimu ni Lowassa kuanza kujitahidi kujipima na wenzie kwanza wa CCM kwa hoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom