hawa magamba wanaishia kujiita wanyamwezi tu, usanii mpaka mwisho. Litakuwa ni kosa kubwa sana kumpata rais bila kupitia mdahalo. Ikitokea hiyo ndipo wanaomshabikia watajua kuwa ni lyatonga wa pili.
Tuliona lilivyotusaidia wakati wa Mkapa na jinsi lilivyotugharimu kwa JK.
Watanzania tusivyo serious tunaweza kuruhusu hili tena na kuuziwa mbuzi kwenye gunia maana tangia ratiba ya tume ya uchaguzi itolewe nilitegemea pia kuona ratiba za midaharo japo mitatu kutoka kwa wadau lakini hakuna hadi sasa!
El hana uwezo wa kujieleza kwani ninauhakika hata mimi haniweze kwa kujieleza popote pale iwe jukwaani na hata kama itakuwa vikao vya kawaida!
Sijui nae anapita humu?lowassa kusema kweli speaking skills hana kabisaaaaa
Najiuliza hivi ataweza kweli ku-address UN General Assembly kama Head of State na speech yake ikawa na mvuto?Maswali ya papo kwa papo yalimshinda, ndio ataweza mdahalo na Slaa? Mwenzake alikimbia 2010 na kujifanyia mdahalo wa peke yake.
Ova
Sijui nae anapita humu?
Najiuliza hivi ataweza kweli ku-address UN General Assembly kama Head of State na speech yake ikawa na mvuto?
Kikwete mbona mrembo tu lowasa jembeee
Najiuliza hivi ataweza kweli ku-address UN General Assembly kama Head of State na speech yake ikawa na mvuto?
Hivi kweli Lowassa anaweza kushiriki mdahalo wa uraisi na mtu kama Dr.Slaa na akamudu kujibu hoja na changamoto zote zitakazojitokeza katika mdahalo huo?
I don't think so!